Heche: Lissu anaipenda CHADEMA ndio maana anatembea na risasi mwili kukijenga chama

Heche: Lissu anaipenda CHADEMA ndio maana anatembea na risasi mwili kukijenga chama

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
"Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama havui chama nguo kama wewe umepewa rushwa tukikuambia Raidhan (mwandishi wa Jambo TV) umepewa rushwa tunashambulia Jambo TV? tunakushambulia wewe mla rushwa."

"Lissu havui chama chetu nguo anakipenda sana ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA. Mtu anayekuletea porojo anaipenda CHADEMA kuliko sisi akuonyeshe amelipa gharama gani kwenye CHADEMA hii sio kukaa twitter kutukana."

"Hujawahi hata kujaribiwa/kuhongwa ukatae rushwa kwa sababu ya chama hiki kuna vijana wanatukana watu. Umewahi kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatizo uliyonayo halafu uyaweke pembeni useme mimi kwa sababu ya wanachama na kwa sababu ya nchi yetu sitachukua hizi hela pamoja na kwamba nazihitaji. Maana yake uende nyumbani roho inakuambia nenda ukachukue hizi hela ufanyie hiki na wewe unasema kwa sababau ya watu wangu sitachukua hii."

"Huyo mtu unamuonaje ni tested and qualified (amejaribiwa na amfaulu) havui chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashinda." - Hech
 
Risasi ndiyo ada ya uenyekiti? Kimsingi hatoweza kukiunganisha chama.
Mbowe kupumzika sawa lkn sio TUNDU ndo aingie
 
Ccm ndiyo wanazusha hivyo, maana wanamuogopa sana Lisu.

Nauona utabiri wa shekhe Yahya ukitimia "alisema baada ya rais mwanamke nchi itataongozwa na mpinzani".
 
"Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama havui chama nguo kama wewe umepewa rushwa tukikuambia Raidhan (mwandishi wa Jambo TV) umepewa rushwa tunashambulia Jambo TV? tunakushambulia wewe mla rushwa."

"Lissu havui chama chetu nguo anakipenda sana ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA. Mtu anayekuletea porojo anaipenda CHADEMA kuliko sisi akuonyeshe amelipa gharama gani kwenye CHADEMA hii sio kukaa twitter kutukana."

"Hujawahi hata kujaribiwa/kuhongwa ukatae rushwa kwa sababu ya chama hiki kuna vijana wanatukana watu. Umewahi kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatizo uliyonayo halafu uyaweke pembeni useme mimi kwa sababu ya wanachama na kwa sababu ya nchi yetu sitachukua hizi hela pamoja na kwamba nazihitaji. Maana yake uende nyumbani roho inakuambia nenda ukachukue hizi hela ufanyie hiki na wewe unasema kwa sababau ya watu wangu sitachukua hii."

"Huyo mtu unamuonaje ni tested and qualified (amejaribiwa na amfaulu) havui chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashinda." - Hech
Ushujaa wa Lissu ni kupona kupigwa risasi? Amekuwa tested kuliko yule ambae mali zake ziliharibiwa, kalala mahabusu, kalala rumande na jela?

Mtu anasema kuna rushwa ya Abduli inayogawanywa kwa wagombea uchaguzi ndani ya CDM. Halafu rafiki yake kipenzi, aliyegombea akashindwa na Akatemia CCM. Haoni kuwa hiyo rushwa anayoilani ilikuwa inatumika kuwaweka watu kama Msigwa aliokuwa anawapigia debe. Na mpaka leo anashindwa kumlaani. Yeye ameng'ang'ana na wakina Halima kwa sababu anajua ni watu wa Mbowe. Lakini tofauti yake na Mbowe ni kuwa mwenzake pamoja na ukaribu nao bado anawasema sana majukwaani.

Heche anatuhakikishia kuwa wakisha usukani watawashughulikia wala rushwa wote. Hiyo si itakuwa witch hunting tu? Inaelekea kwao kila anaewapinga ni mla rushwa. Hawa ndio wanataka kuisafisha CDM? Lord have mercy.

Amandla...
 
IMG-20250105-WA0018.jpg
 
Back
Top Bottom