Heche: Mgombea wa Msumbiji alikuja Tanzania kujifunza wizi wa Kura

Heche: Mgombea wa Msumbiji alikuja Tanzania kujifunza wizi wa Kura

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche akizungumza kwenye mkutano na wanahabari tarehe 5 Januari, 2024 katika ukumbi wa Nyakahoja uliopo jirani kabisa na ofisi za Halmashauri ya Jiji la Mwanza, mkoani Mwanza amasema:

"Rais wa Msumbiji juzi alikuwa hapa kujifunza kabla ya uchaguzi jinsi ya kuiba uchaguzi alikuwa anaamini watu wa Msumbiji ni Kondoo kama CCM inavyoamini hapa Tanzania, na alivyokwenda Kwenda kufanyia kazi alichofundishwa kumewaka moto."

"Na CCM tunawatahadharisha hawa Watanzania vijana ambao hawana kazi na wanaonamnaiba pesa zao hawa watu watachukua hatua kali msipobadilisha mambo hayo...Na sisi tutawaongoza, sisi tunachofanya ni kuomba Watanzania watuunge mkono ili tuwe mbele kuwaongoza kubadilisha Tume ya uchaguzi ili uchaguzi usiibiwe akishidwa Heche ashindwe kwa haki, akishinda ashinde kwa haki."
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche akizungumza kwenye mkutano na wanahabari tarehe 5 Januari, 2024 katika ukumbi wa Nyakahoja uliopo jirani kabisa na ofisi za Halmashauri ya Jiji la Mwanza, mkoani Mwanza amasema:

"Rais wa Msumbiji juzi alikuwa hapa kujifunza kabla ya uchaguzi jinsi ya kuiba uchaguzi alikuwa anaamini watu wa Msumbiji ni Kondoo kama CCM inavyoamini hapa Tanzania, na alivyokwenda Kwenda kufanyia kazi alichofundishwa kumewaka moto."

"Na CCM tunawatahadharisha hawa Watanzania vijana ambao hawana kazi na wanaonamnaiba pesa zao hawa watu watachukua hatua kali msipobadilisha mambo hayo...Na sisi tutawaongoza, sisi tunachofanya ni kuomba Watanzania watuunge mkono ili tuwe mbele kuwaongoza kubadilisha Tume ya uchaguzi ili uchaguzi usiibiwe akishidwa Heche ashindwe kwa haki, akishinda ashinde kwa haki."
View attachment 3193186
Kama hujaajiriwa na serikali,ni ngumu kuelewa kama wapinzani ,hawawezi kushika dola
 
Nawaelewa sana nia yao lakini aisee we have seen their kind before. May the best man win
 
Back
Top Bottom