Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche aivaa vikali Serikali ya CCM kwa kushindwa kutoa uchaguzi ulio huru na wa haki kwa kila chama badala yake imejimilikisha uchaguzi huo na kuona wengine hawafai kuongoza.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Heche amebainisha kuwa wamejihakikishia kwa takribani chaguzi tatu kamba CCM haitaki uchaguzi ada imeleta sheria zinazowanyima fursa ya kushindana kwa haki.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Heche amebainisha kuwa wamejihakikishia kwa takribani chaguzi tatu kamba CCM haitaki uchaguzi ada imeleta sheria zinazowanyima fursa ya kushindana kwa haki.