Hedhi inaweza kusababisha maambukizi ya UKIMWI?

Hedhi inaweza kusababisha maambukizi ya UKIMWI?

me and I

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
1,540
Reaction score
1,357
Habari za muda huu waungwana,

Nina swali kidogo nahitaji majibu, je ile damu ya hedhi kwa mwanamke inaweza sababisha maambukizi ya virusi vya UKIMWI?
 
Mkuu kwanini unarudiarudia kupost kitu kile kile ??!! Ina maana haujaridhika na majibu au VP?!!!
 
Back
Top Bottom