getrude furahia
Member
- Nov 26, 2014
- 31
- 1
Habari ya asubuhi wandugu
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, Jaman mwenzenu kama nilivouliza mara ya kwanza kuhusu sindano ya uzazi wa mpango ambayo nilichoma mwezi wa tisa mwaka jana na iliisha tar 22 dec, 2014.
Lakni baada ya kuisha sikuchoma tena niliachana nazo ili nitumie njia ya carenda na ilipoisha tu tar 24 nilianza hedhi ambayo ilikuwa ndefu sana km siku 12 hivi nilimuuliza docta akanambia ni sindano bado haijaisha vizuri.
Lakni mwezi huu wa kwanza nimeanza hethi jana cha ajabu ina mabongebonge saana mpaka naogopa maana haijawahi kunitokea toka nimepevuka halafu tumbo linaniuma sana chini ya kitovu.
Sasa wadau naomba kuuliza je bado ni sindano niliyochoma sept mwaka jana inasababisha haya au kuna shida ingine zaidi? nimeona nipate ushauri wa wadau kabla sijaenda hospital ili nijue cha kufanya.
Natanguliza shukrani zangu na samahani kwa kuwachosha na maelezo marefu
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, Jaman mwenzenu kama nilivouliza mara ya kwanza kuhusu sindano ya uzazi wa mpango ambayo nilichoma mwezi wa tisa mwaka jana na iliisha tar 22 dec, 2014.
Lakni baada ya kuisha sikuchoma tena niliachana nazo ili nitumie njia ya carenda na ilipoisha tu tar 24 nilianza hedhi ambayo ilikuwa ndefu sana km siku 12 hivi nilimuuliza docta akanambia ni sindano bado haijaisha vizuri.
Lakni mwezi huu wa kwanza nimeanza hethi jana cha ajabu ina mabongebonge saana mpaka naogopa maana haijawahi kunitokea toka nimepevuka halafu tumbo linaniuma sana chini ya kitovu.
Sasa wadau naomba kuuliza je bado ni sindano niliyochoma sept mwaka jana inasababisha haya au kuna shida ingine zaidi? nimeona nipate ushauri wa wadau kabla sijaenda hospital ili nijue cha kufanya.
Natanguliza shukrani zangu na samahani kwa kuwachosha na maelezo marefu