Hedhi yangu ni mabonge ya damu



Mkuu Dr Riwa,

Ushauri wako unaotoa katika jukwaa hili umeenda shule sana. Ahsante sana kwa michango yako ya hali ya juu.
 
Ni kweli hii ilitokea au? Sababu ilikuwa hilo tatizo lake au?
 
Yavunje vunje yawe chengachenga.
Ivi unajua kuna watu wenye matatzo n hum ndio wanategemea,pengin utan kama hizi ungepeleka kweny magroup ya kihuni kule Facebook, huku kuna wasomi tu naenda kule kwa Vilaza 2enzio
 
pole sana kwa hayo yanayokusibu mkuu maswala mengi ya wanawake hasa yahusuyo uzazi na mifumo yake huwa yanatokana na homoni, ila kwa ushauri wa tija fika hosipitali upate mahojiano ambayo yataonesha hisia katika tatizo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…