hedhi

bryleen

Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
90
Reaction score
24
habari za leo!napenda kujua ni siku gani hasa za kupata mimba kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 za hedhi!
 
Gawanya siku za mwanamke (28) kwa tatu (3), yaani toka siku ya kwanza mpaka ya 28. Utapata 9, kwa hiyo kuanzia siku ya kwanza mpaka ya tisa( zikiwamo zile za hedhi) ni salama. Kuanzia siku ya 10 mpaka 18 itakuwa ni siku za hatari, ikimaanisha uwezekano wa kubeba mimba ni mkubwa. Kuanzia siku ya 19-28 ni kipindi salama tena. Lakini huwa si ya kuaminika mara zote, kwani mwili wa mwanadamu hubadilika(Dynamic) so it will be wise to use extra protection along with safe period.
 
9-17.baada ya hedhi kwa uhakika zaidi.hapo usimpe.ukimpa imekula kwako.
 

Whao...Dumelang hii formula yako sijawahi kuisikia lakini ni ukweli kabisa (only kwa wenye mzunguko wa siku 28 kama huyu mleta mada), i'publish' mkuu kama hujaicopy sehemu!
 
<br />
<br />
Thanx much
 
Whao...Dumelang hii formula yako sijawahi kuisikia lakini ni ukweli kabisa (only kwa wenye mzunguko wa siku 28 kama huyu mleta mada), i'publish' mkuu kama hujaicopy sehemu!

lol...Cjakop bana ila niliipenda sana Biology na mara nyingi nasoma article, books related to human body, zikiwepo hizi...salute 2 u too
 
Wenye mzunguko wa siku 28, siku ya 1 ni ile anapoingia hedhi hutakiwi kufanya mapenzi siku 5 kabla ya hedhi kwa sababu sperms survive for 3 or 4 days in female body, siku 4 au 5 wakati wa hedhi pia siku 3 baada ya hedhi this is called dry period ( no mucus vagina become dry) after that you can sex without protection until 5 day before hedhi.
 
Du!leo nimepata darasa tosha,mie huwa naomba mechi tu kumbe kuna mahesabu!
 
<br />
<br />
mkuu hapa nabeba bango! wher z dis biology?
 
kama ulikuwa na nia na kama swali lako uliliumaanisha basi madaktari watakuwa wamekupa ulichokuwa unakitaka
 
listen guyz mizunguko iko mingi sana kulingana na utolewaji wa homones,but if mnakumbuka bios Experts wanasema njia rahis kabisa yakushika mimba ni siku ya 15 back from the last day of your circle,yaan hapo sasa lazima mdada ajue aina ya mzunguko alionao.kama mzunguko wake ni siku 28 hesabu hizo siku utaona ya kumi na tano itaangukia siku ya 14,kwahiyo kila siku ya 14 ni hatari kwake then ingiza swala la sperms kuwa hai kwa siku2 inabidi awe makin tangu siku ya12 after hapo atongeza siku2 mbele kwa usalama zaidi.baada ya hapo cheza game mwanzo mwisho.hii itaaprove ugumba kwa wanawake wenye hedhi hafifu ya siku 25 ambapo ukitumia hiyo formula hapo utkuta game linajirudia kwenye safe zone kama unabisha nitafute nikupe darasa.pamoja wadau.
 
wadau wote tuna ndevu hapa hakuna mtoto na kama yupo sio kamawazo,hivyo kaeni mkijua kwamba mimba ndani ya siku 10 tangu siku ya kwanza kuona bleed ni asilimia5 tu ndio wanapata kwa ufupi hakuna,hii nikwasababu yai la mwanamke kwa utafiti mpya huwa tayari kurutubishwa kuanzia siku ya 11 kwa asilimia 20 siku ya 12 kuendelea ni asilimia 75,ambapo mwisho kabisa ni siku2 mbele kutoka pale ilipo angukia siku yako ya15.na mizunguko iko mingi huu ni mfano kuna mizunguko ya siku 25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,ambapo ukimchukua huyo mwenye mzunguko mrefu utaona siku yake ya15 kurudi nyuma inaangukia siku ya21 tangu siku ya kwanza ya mzunguko.have a gud time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…