Je huyo rafiki yako au ndio wewe rafiki yako umesha zaa watoto? nenda Hospitali huenda una matatizo ya Hormone nenda kamuone Daktari ni wewe sio rafiki yako mbona unajificha?Habari zenu wana jf,
Nomba msaada rafiki yangu anatatizo la kubadilika mpangilio wa hedhi,mwezi wa nane alikuwa na mzunguko wa siku 27, mwezi wa tisa siku 26, mwezi wa kumi siku24 na period imekuwa ni heavy flow. anaomba msaada wa kujua tatizo ni nini
Je huyo rafiki yako au ndio wewe rafiki yako umesha zaa watoto? nenda Hospitali huenda una matatizo ya Hormone nenda kamuone Daktari ni wewe sio rafiki yako mbona unajificha?
Binadamu kwa kupenda kusema maneno ya uongo anajıitia rafiki yake wakati mimi ninajuwa kuwa ndio yeye anasema rafiki yangu kwani ukisema ni wewe nani atakujuwa zaidi ya hapa kwenye forums? Ahhhh nimechoka na kesi za rafiki yangu.hahahahahaha
Habari zenu wana jf,
Nomba msaada rafiki yangu anatatizo la kubadilika mpangilio wa hedhi,mwezi wa nane alikuwa na mzunguko wa siku 27, mwezi wa tisa siku 26, mwezi wa kumi siku24 na period imekuwa ni heavy flow. anaomba msaada wa kujua tatizo ni nini
Samahani naomba kuuliza kama hilo ni tatizo