Hee, kumbe kweli bwana; naona hapa saa hizi!!

Hee, kumbe kweli bwana; naona hapa saa hizi!!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Inasemwa, kwa nguvu zote, kuwa anadanganya na hakuna watu wowote waliompokea na mabango huko songwe....ilibaki kidogo niamini.

kama zali, wakati naangalia taarifa ya habari hapa kupitia kituo changu pendwa kabisa cha muda wote, Star TV, katika habari za biashara si ndo akaonekana bwana akiwasalimia watu. Aisee ni wengi na wana mabango yao kabisa kama inavyosemwa.

mh, kumbe yatupasa tuwe makini humu aisee; ukiambiwa, changanya na zako.....zingine ni siasa tu kumbe!!
 
inasemwa, kwa nguvu zote, kuwa anadanganya na hakuna watu wowote waliompokea na mabango huko songwe....ilibaki kidogo niamini.

kama zali, wakati naangalia taarifa ya habari hapa kupitia kituo changu pendwa kabisa cha muda wote, Star TV, katika habari za biashara si ndo akaonekana bwana akiwasalimia watu......aisee ni wengi na wana mabango yao kabisa kama inavyosemwa.

mh, kumbe yatupasa tuwe makini humu aisee; ukiambiwa, changanya na zako.....zingine ni siasa tu kumbe!!
Sijakuelewa
 
inasemwa, kwa nguvu zote, kuwa anadanganya na hakuna watu wowote waliompokea na mabango huko songwe....ilibaki kidogo niamini.

kama zali, wakati naangalia taarifa ya habari hapa kupitia kituo changu pendwa kabisa cha muda wote, Star TV, katika habari za biashara si ndo akaonekana bwana akiwasalimia watu......aisee ni wengi na wana mabango yao kabisa kama inavyosemwa.

mh, kumbe yatupasa tuwe makini humu aisee; ukiambiwa, changanya na zako.....zingine ni siasa tu kumbe!!
Hao watu walijuaje kuwa anaenda?
Kama hawakuandaliwa, mabango wameyaanda saa ngapi?
Mkawadanganye vilaza wale mnaowagawiaga kofia za chama
 
Hao watu walijuaje kuwa anaenda?
Kama hawakuandaliwa, mabango wameyaanda saa ngapi?
Mkawadanganye vilaza wale mnaowagawiaga kofia za chama
hayo mi sijui, mi nimeona tu watu kama ilivyosemwa. kwamba wameandaliwa au hawakuandaliwa hilo sina maarifa nalo kwakweli!
 
Ni mwanasiasa gani ambaye bila taarifa anafika mahala bila taarifa alafu anakuta TANZANIA NZIMA INAMSUBIRI??
Bila shaka huyu jamaa anataka apige hela mbona anatumia nguvu kubwa sana na janjajanja zakiaina
 
Ndomaana juzi usiku huku kwetu songwe guest zilijaa,,mabasi yalikuwa yanamwaga wageni tu
 
Back
Top Bottom