ee bana eeh!Fasta fasta.........:car: ovadraivu :tea: kwa vikiiii!!
Hii misaada ya j4 sijui inafananaje...
Haya ni madhara ya moja kwa moja ya kukosa chatroom...
hivi ile meseji ulinitumia mimi au ulikosea?twakuomba utusikie!
JS ............shopping theraphy always helps! nenda kajinunulie viatu vya maana .........utapoa mwenyewe hehe
Nimesoma hapa majuzi kuna mambo ya kwenye ndoto huenda kwa msaaada wa Roho....si wewe ulikuwa mhusika...LOL ( honestly pole, talk to me ur brother)
Ni mimi wewe Nguli na hakuna shemeji anayedekewa hapa. Ni mimi JS Originale
Nakuomba uningoje!!ee bana eeh!
hapa clouds building kuna :car::car::car::car::car::car::car::car::car::car::car::car: ya kufa mtu!hawa jamaa kwanini wasitengeneze matuta yao?
...namuona bigirita ofisini kwake YULEEEEEEEEEEE!
Pole sana kama leo umebeba nguo za mazoezi pitia pale gym tunafanya stretching ya taratibu huku ukisindikizwa na muziki laini kuliko ule wa hyms utatoka kajasho kembamba then utapata nusu lita ya maji ya uvuguvugu then utarudi nyumbani ukifika home pata msosi wako wahi kulala mapema na chelewa pia kuamka.
Maumivu yakizidi kamuone Bigirita.
Nakuomba umsikilize Nguli!!
hivi ile meseji ulinitumia mimi au ulikosea?
Wewe hata hukuwa na dalili za kutangaza nia sikuziona kabisa kwa hiyo uache kunanihiii hapa
kweli kabisa haya mambo ya facebook yameletwa huku, kesho tutasikia mtu anaanzisha topiki kuwa anaenda kukamua jipuJF imekuwa facebook?!:confused2:
Hapo cousin ndio umeniua kabisaaaaa... yaani invisibo alikua anaumwa kichwa, halafu huyu ujauzito.. duh, what a coincidence!! Mmoja kichwa, mmoja mimba
Tumpe pole dogo wetu
Du mkuu kura za maoni zilikuficha nini??kwani mimba ni ugonjwa???
kula majivu dogo....Am doing great today Lady N. nimeamka shwari kabisa, hope itabaki hivyo hivyo mpaka siku iishe