Heeey what's up

Gudume katoa uzi jana eti kaoa lakini bado haishi kukandia watu humu ndani. Yawezekana ndo yeye kaachika jana.
Uyo gudume anakukula wewe mbona mna shoboka ivooo
 
Uyo gudume anakukula wewe mbona mna shoboka ivooo
Kabla hujajibu nenda kwenye ID ya mtu angalia umri siyo uongee hovyo ndo maana nimekuuliza shule hazijafunguliwa? Ungeingia chit chat hakuna ambaye angekuuliza haya ila umekuja straight kwenye Great Thinkers.
 
Kabla hujajibu nenda kwenye ID ya mtu angalia umri siyo uongee hovyo ndo maana nimekuuliza shule hazijafunguliwa? Ungeingia chit chat hakuna ambaye angekuuliza haya ila umekuja straight kwenye Great Thinkers.
We mzee unikome naona unawashwa sana ili ni jukwaa LA utambulisho....mind ur fucken business ...kama we ni mtu mzma na mm ni mtu mzima mwwnzio na wewe nenda kwenye id yangu uone nna umri gan ...mxeeeeew
 
[emoji2][emoji2][emoji2]Umri sio Maarifa[emoji40][emoji40][emoji40]
We mzee unikome naona unawashwa sana ili ni jukwaa LA utambulisho....mind ur fucken business ...kama we ni mtu mzma na mm ni mtu mzima mwwnzio na wewe nenda kwenye id yangu uone nna umri gan ...mxeeeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…