Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Wana JF,cc wafanyabiasha hapa kilombero,hususani mjini ifakara tuna cku ya tatu sasa kila tukienda bank kutoa pesa tunaambiwa pesa hamna. Sababu walizotoa wafanyakazi wa bank hiyo ni kwamba,watu hawadeposite bali wanadraw tu. Meneja wa tawi alituhakikishia kuwa pesa zitafika leo hii.mpaka muda wa saa 10 jioni gari haikuwa imefika. Nahata kama litafika jioni hii kesho ni 77 hamna kazi..juzi,jana na leo tuliruhusiwa kuchukua Tshs 1000000/=tu. Hii imekaaje wandugu? NB-siku mbili zilizopita kulikuwa hamna mafuta ya petrol!
Pole sana ndugu tatizo benki zetu zimekaa kisanii sana kuliko kikazi, uwezi kuona kitu kama hiki benki za wenzetu mfano Stanbic BankWana JF,cc wafanyabiasha hapa kilombero,hususani mjini ifakara tuna cku ya tatu sasa kila tukienda bank kutoa pesa tunaambiwa pesa hamna. Sababu walizotoa wafanyakazi wa bank hiyo ni kwamba,watu hawadeposite bali wanadraw tu. Meneja wa tawi alituhakikishia kuwa pesa zitafika leo hii.mpaka muda wa saa 10 jioni gari haikuwa imefika. Nahata kama litafika jioni hii kesho ni 77 hamna kazi..juzi,jana na leo tuliruhusiwa kuchukua Tshs 1000000/=tu. Hii imekaaje wandugu? NB-siku mbili zilizopita kulikuwa hamna mafuta ya petrol!
Pole sana ndugu tatizo benki zetu zimekaa kisanii sana kuliko kikazi, uwezi kuona kitu kama hiki benki za wenzetu mfano Stanbic Bank
Mkuu, kuifadhi pesa ndani Security hamna bora bank pamoja na usumbufu wote utakaopatahamna sheria inayomlinda mteja wa benki pindi anapohitaji pesa zake?mimi huwa naona hakuna faida ya kuweka pesa bank hapa tanzania!u dont get your money, when u need them!
hamna sheria inayomlinda mteja wa benki pindi anapohitaji pesa zake?mimi huwa naona hakuna faida ya kuweka pesa bank hapa tanzania!u dont get your money, when u need them!
CRDB wapo,wao wana mobile vane.Ifakara wanayo benki moja tu ya NMB
Pole sana ndugu tatizo benki zetu zimekaa kisanii sana kuliko kikazi, uwezi kuona kitu kama hiki benki za wenzetu mfano Stanbic Bank
Wana JF,cc wafanyabiasha hapa kilombero,hususani mjini ifakara tuna cku ya tatu sasa kila tukienda bank kutoa pesa tunaambiwa pesa hamna. Sababu walizotoa wafanyakazi wa bank hiyo ni kwamba,watu hawadeposite bali wanadraw tu. Meneja wa tawi alituhakikishia kuwa pesa zitafika leo hii.mpaka muda wa saa 10 jioni gari haikuwa imefika. Nahata kama litafika jioni hii kesho ni 77 hamna kazi..juzi,jana na leo tuliruhusiwa kuchukua Tshs 1000000/=tu. Hii imekaaje wandugu? NB-siku mbili zilizopita kulikuwa hamna mafuta ya petrol!
CRDB wapo,wao wana mobile vane.
Mkuu, swala ATM kwa bank za Tanzania zote ATM zao ni za mitumba, kweli Stanbic ATM wanazo chache sana ata pale Mlimani City hawanaHawa Stanbic nao linapokuja suala la ATM ni zero. ATM wanazo chache sana na Kila siku ATM hazina hela ama mbovu.