MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hii nimeipata imefunguliwa uzi kwenye jukwaa la Watanzania, wanatupiana vijembe huko ila nimeona busara kuileta kwa Wakenya, sijui panic gani imewaingia wadau wa chama chao kile hadi wameamua kujishusha kiasi hiki.
Labda inahusiana na kwamba uchaguzi wao umesalia mwaka mmoja.
Uzi wenyewe huu huku Picha SGR zawaumbua CCM na Makada wao - JamiiForums
Labda inahusiana na kwamba uchaguzi wao umesalia mwaka mmoja.
Uzi wenyewe huu huku Picha SGR zawaumbua CCM na Makada wao - JamiiForums