Hehehe!! Wabongo kwa mazoea

Hehehe!! Wabongo kwa mazoea

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.

19554052_1290333577732098_4787931691817609288_n.jpg
 
Tusaidieni kuiloga ccm ife kwani ccm ndio mlezi wa ujinga.
 
Huyo alikuwa anavuka sehemu ya pundamilia anasimamisha basi ili atumie haki yake ya kuvuka barabara sehemu husika
 
Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.

19554052_1290333577732098_4787931691817609288_n.jpg
Ndio umeiona Leo! Hio mbona IPO tangu kitambo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humuhumu jf au nimwite lusematic akuoneshe
 
Back
Top Bottom