Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayasimami kama daladala....mpaka kwenye vituo vyake, yawezekana uyo kijana aliomba avuke na sio vinginevyoHivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
![]()
Kweli hajamtendea haki. Huenda hata alikuwa anamuita mtu aliyekuwa upande wa piliAliyepiga picha anamakosa pia kwann asfanyie mahojiano kidogo hata tukajua historia yake
Kuita sio kama sawa ila labda alikuwa anawavusha watoto au vilemaKweli hajamtendea haki. Huenda hata alikuwa anamuita mtu aliyekuwa upande wa pili
ndioHivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
![]()
Naimani wewe Kichani Haupo sawaCcm wametufikisha hapo kila kitu wao ni siasa.
Swissme
Nadhani nihivyo mkuuHuyo n mkenya ama mganda kule kwao hayapo
Umeandika exactly nilichokuwa nakifiria.....probably ni mkenya aliyekuja kimagendo anayedhani hilo bus ni moja kati ya matatuu ya Dar.Huyo n mkenya ama mganda kule kwao hayapo
Ndio umeiona Leo! Hio mbona IPO tangu kitambo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humuhumu jf au nimwite lusematic akuonesheHivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
![]()
Huyo ni mkenya hajui hata brtHivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
![]()
Atakuwa mkenya huyo alikuja dsm na AKAMBA..!Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
![]()