Huyo alikuwa anaomba kuvuka barabara si unaona amesimama kwenye zebra crossing. Ila i get it it was a joke. Ha. Ha.Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
Huyu jamaa inasemekana kavuka boda kuja Tz na zile basi za Tahmeed!Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
Haha waswahili bwana! Imenikumbusha ile kauli ya magu eti waache kujisaidia kwenye vituo vya mwendokasi[emoji2] , video nitaiweka humu..aisee kwa ss hivi vituo lazma vimejaa inye[emoji90]
Yaani wewe unawashwa kama umepakwa upupu.....una mtindio wa ubongo wewe si bureCcm wametufikisha hapo kila kitu wao ni siasa.
Swissme
Hivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
We love you so much mkuuHivi haya mabasi siku hizi mnayasimamisha kama daladala za kawaida.
Lol! Hapa Kenya, kama uko stage ya basi hamna haja ya kuflag, zitasimama tu. Wao ndio watakuomba uingie, not the other way roundHuyu ni mgeni toka Kenya (possibly a Kikuyu)....hajuwi sheria za hapa mjini when it comes to mwendo kasi. Yeye anafikiri ya Kenya yana apply hapa Tanzania, here we do NOT kataza bus kutembea barabarani. Si unaona katoka Kenya with a plastic bag wakati hapa Tanzania tumekataza plastic bags kutumika. Karibuni mjini ndugu zetu.
Huyu ni mgeni toka Kenya (possibly a Kikuyu)....hajuwi sheria za hapa mjini when it comes to mwendo kasi. Yeye anafikiri ya Kenya yana apply hapa Tanzania, here we do NOT kataza bus kutembea barabarani. Si unaona katoka Kenya with a plastic bag wakati hapa Tanzania tumekataza plastic bags kutumika. Karibuni mjini ndugu zetu.
Wadanganye wengine, tunao juwa hautudamganyi. Hii video chini hutakuja kuona kwenye mwendo kasi.Halafu kwetu ukisimamisha basi sehemu ambapo hamna stendi, wewe na dereva mnakamatwa.
Wadanganye wengine, tunao juwa hautudamganyi. Hii video chini hutakuja kuona kwenye mwendo kasi.
Halafu hii rushwa Kenya mpaka lini? Wenzenu Tanzania traffic wetu siku hizi wameshika adabu. 95% ya fine za makosa ya barabarani zinaemda serikalini. Polisi wote wana progress report, usucheze na Magu.
Achana nae huyo hajakua badoYaani wewe unawashwa kama umepakwa upupu.....una mtindio wa ubongo wewe si bure
Huyo n mkenya ama mganda kule kwao hayapo
Wewe umeanza kuishiwa hoja, sijuwi ni njaa ya mahindi maana umejaza nyuzi za mahindi mpaka basi.Kha!! Polisi wale wa kibongobongo mbona vituko, wanasahau wapo barabarani kwa ajili ya usalama wa wasafiri na kufanya yao...
View attachment 534858
Lol! Hapa Kenya, kama uko stage ya basi hamna haja ya kuflag, zitasimama tu. Wao ndio watakuomba uingie, not the other way round
Halafu kwetu ukisimamisha basi sehemu ambapo hamna stendi, wewe na dereva mnakamatwa.
Na Tanzania we don't do this....huyu jamaa ni mgeni wetu from north of the border that's why he's carrying that banned plastic bag in town.
Hehehe na hao walio karibu naye wamevaa kama yeye.Sasa huyu atakuwa katokea wapi huko Kenya. I know he's a Kenyan bcs of his looks and him carrying that banned plastic bag in town. Alikuwa hajuwi kuwa TZ ya late 70's to mid 80's ain't the same today. The following is just a beginning for those who don't know:
Down Town
View attachment 536220
The Other Part of Dar (Not the actual downtown)....Kisutu, Mnazi Mmoja /Kariakoo Area.
View attachment 536223