Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
mmmhhhh.... mi nahisi labda kwa kuwa amesave ban kwa mara ya kwanza..... na ikaangukia kwa Chilli
Ngoja nifurahie nishereheke pamoja nawe. BAN! Ban! BaN! bAn! wooyeeeee! Nasikia hapa kuna mwarabu wa dubai kavaa ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu. Leo nimeoteshwa kuwa huyu mwarabu wa dubai ni mtumishi wa sevani kaja huku uraiani kwa sura ya mbuzi.mtumishi wa sevani kavaa korokoto
Raha jipe mwenyewe aisee. Laugh like there is no tomorrow!