Hehehehe!! Elimu bana....Madagascar ni kisiwa katikati mwa Tanzania

Tanzania ni nchi kubwa yenye visiwa ktk bahari na maziwa makuu !!
 
Unazingatia vitu vingine havina hata maana,hiyo ni challenge commedy show..sijui kama kenya inaweza kuwepo!
Comedy show kubwa zaidi Afrika Mashariki ilikuwemo huko Tz iliitwa "ujamaa" ndio mkabadilisha baada ya kuzorota kiuchumi na kimaendeleo.
 
Comedy show kubwa zaidi Afrika Mashariki ilikuwemo huko Tz iliitwa "ujamaa" ndio mkabadilisha baada ya kuzorota kiuchumi na kimaendeleo.

Ohooo your brain is missing..see your doctor!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…