Wewe uliijaribu ikawa sawa?🙂hawasomi na wanafaulu..
kusoma KUELEWA, kukesha ni MBWEMBWE TU .........Kiaina kuna ukweli..kuna wale walikuwa wanatoboa usiku..!matokeo yake...nadhani wote twayajua!
Vicheche wote walifeli
Ni kweli kusoma sana na kwa muda mrefu sio lazima ufaulu mtihani na wala kusoma kidogo na kwa muda mfupi sio lazima ufeli mtihani . Muhimu ni kuelewa unachokisoma na kuwa na uwezo wa kukumbuka wakati wa mtihani, uwe umesoma sana au umesoma kidogo .kusoma KUELEWA, kukesha ni MBWEMBWE TU .........
Let study=s
fail=f
Then Don't study= ~s
Don't fail= ~f
Katika Logic Maths, alama ya 'plus' i.e '+' inatumika kama OR au kwa maana nyingine Conjuction, kwa hiyo usije ukajumlisha kienyeji kama 2+3=5. Logic Maths ndiyo zimezaa Digital states zinazotamba katika circuit mbalimbali za Electronics ikiwemo na hii tarakilishi (computer) yako. Neno 'Digital' lina prefix ya 'di' ikimaanisha MBILI, yaani kuna state mbili tu katika mifumo ya digitali, TRUE or FALSE, 1 or 0, ON or OFF.
Turudi kwenye milinganyo (equations) zetu. Ingawa umejumlisha kienyeji, hukutakiwa kufungua brackets za factors zako kwani katika logic kitu hicho hakipo.
s + ~s = ~f + f
Note that x + ~x = TRUE, so
TRUE = TRUE
Najua umeweka jokes lakini kwangu umenibrush kwani nimefanya karevision kadogo na huwa nazitumia hizi logic katika kudesign Logic Gates za electronics kwa ajili ya circuits mbalimbali, si lazima tuwe tunarepair vitu vya wazungu wakati wote, muda mwingine tuwe tunadesign circuit zetu wenyewe.
Let study=s
nazitumia hizi logic katika kudesign Logic Gates za electronics kwa ajili ya circuits mbalimbali, si lazima tuwe tunarepair vitu vya wazungu wakati wote, muda mwingine tuwe tunadesign circuit zetu wenyewe.
Umekosea
1. 'plus' i.e '+' inatumika kama OR - Umekosa
2. s + ~s = ~f + f - Umepata
3. Note that x + ~x = TRUE - Umekosa
Kama ni mtihani umepata moja kati ya matatu = 33%
Masahihisho;
1. plus '+' au '^' hutumika kama AND kwenye Conjuction.
2. kama X = T (True) then ~ X = F (False). '~' hutumika kama Negation au 'NOT'. Kwenye Conjuction True AND False is False T AND F = F,
i.e T + F = F or T ^ F = F kwahiyo,
X + ~X = F False.
Hii ni logic tulifunzwa pale Majengo sec na Kinunda..
mbishi alete facts!
Let's do some mathemetics for study & its result.
Eq.1: Study=Don't Fail
Eq.2: Don't Study=Fail
Add Eq.1 to Eq.2,we will get,
Study+Don't Study=Fail+Don't Fail
=> Study(1+Dont)= Fail(1+Dont)
=> STUDY=FAIL
so don't study Hence Proved!
NB: No wonder magenius wengi walikuwa hawasomi na wanafaulu..think abt it!
Hii ni logic tulifunzwa pale Majengo sec na Kinunda..
mbishi alete facts!
Let's do some mathemetics for study & its result.
Eq.1: Study=Don't Fail
Eq.2: Don't Study=Fail
Add Eq.1 to Eq.2,we will get,
Study+Don't Study=Fail+Don't Fail
=> Study(1+Dont)= Fail(1+Dont)
=> STUDY=FAIL
so don't study Hence Proved!
NB: No wonder magenius wengi walikuwa hawasomi na wanafaulu..think abt it!
also refer quote ya EinstenLogic is the art of going wrong with confidence
Eisten said:...education ruined my intelligence...
Hii ni logic tulifunzwa pale Majengo sec na Kinunda..
mbishi alete facts!
Let's do some mathemetics for study & its result.
Eq.1: Study=Don't Fail
Eq.2: Don't Study=Fail
Add Eq.1 to Eq.2,we will get,
Study+Don't Study=Fail+Don't Fail
=> Study(1+Dont)= Fail(1+Dont)
=> STUDY=FAIL
so don't study Hence Proved!
NB: No wonder magenius wengi walikuwa hawasomi na wanafaulu..think abt it!
Wow!!!! Mmenikumbusha bam ya a-level sie wa PCB palikuwa patamu hapo kuzinyambua hizo logics
nasikia siku hizi zimefutwa,shame on them wanaoTunga mitaala!!!