Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
Hujawahi niangusha kijana wangu nitakutegemea zaidi.Mbona hujaniambia hilo, naanza kuandaa project za kilimo Kama 200 hivi wao ni wao
Shukrani mkuu nmetimia
Hilo ni kweli ila ukijitambua saving na investing ni kitu muhimu wakati wa utumishi.Ila mafao yenu wastaafu bado ni madogo sana ndugu yangu, yaani unafanya kazi kwa zaidi ya miaka 29 alafu eti unalipwa milioni 72? Pesa ambayo kuna watu hapa mjini anafanya biashara raundi mbili anaipata. Kwakweli wandugu tutafuteni pesa kupitia biashara
Plus mipango muhimu, kwani huwezi acha kazi Kisha ukanunue nyumba, gari bila kuwa na foundation imara ya kukusogezaHilo ni kweli ila ukijitambua saving na investing ni kitu muhimu wakati wa utumishi.
I am so glad kwamba huyu business man is still alive..Thank you Intelligent businessman
Wengi tunafeli kwenye hizi sentensi tajwa.Plus mipango muhimu, kwani huwezi acha kazi Kisha ukanunue nyumba, gari bila kuwa na foundation imara ya kukusogeza
Asante sana mkuu Hebu nitulie nisome vizuri!!
Santo sana kichaa ake!We sister mawigi Antonnia, Cha ukorofii Lovelovie, big boss Bantu Lady, magic mind Madame S, big bro Analyse, and Don Mafian cartel
[emoji3][emoji3] Kumbuka sana ndani ya hiyo miezi mi4 umalize shida zako zote. Umeshasikia hela ya kiinua mgongo sio ya kujenga...Uzi mzuri sana ila mzee mwenzangu una heka heka sana wewe .
Haya wacha niendelee kujiandaa maana ni miezi minne tu nitaachia ofisi.
[emoji3][emoji3] Kumbuka sana ndani ya hiyo miezi mi4 umalize shida zako zote. Umeshasikia hela ya kiinua mgongo sio ya kujenga...Uzi mzuri sana ila mzee mwenzangu una heka heka sana wewe .
Haya wacha niendelee kujiandaa maana ni miezi minne tu nitaachia ofisi.
Thanks bro .[emoji3][emoji3] Kumbuka sana ndani ya hiyo miezi mi4 umalize shida zako zote. Umeshasikia hela ya kiinua mgongo sio ya kujenga...
Hi big bro.[emoji112]
Here i am cousin. Thank youAsante sana mkuu Hebu nitulie nisome vizuri!!
Lovelovie Bantu Lady Tayukwa leadermoe moneytalk Unforgettable
Naona Ushatoka kifungoni cha ukorofi 😊😊! Welcome back cuzoo! Vipi muendelezo wa wale madent kule??Here i am cousin. Thank you
Daaa yani ile picha yako ilileta kizaa zaa. Maana toka siku ile sikuwa na access na account yangu. Kule kama kawa acha tupate darasa kwanzaUshatoka kifungoni cha ukorofi [emoji4][emoji4]! Welcome back cuzoo! Vipi muendelezo wa wale madent kule??
Kizazaa zaa kivipi cuzoo?? Ulizuiliwa??? Leo nasubiria blessings zako kulee cuzoo!Daaa yani ile picha yako ilileta kizaa zaa. Maana toka siku ile sikuwa na access na account yangu. Kule kama kawa acha tupate darasa kwanza
Nakuja kusoma ccy wabheja.Asante sana mkuu Hebu nitulie nisome vizuri!!
Lovelovie Bantu Lady Tayukwa leadermoe moneytalk Unforgettable
Be blessed brother