Kwanini wanaume wenye hekma na busara mumeoa walio baki masharobaro na waaribifu, wauza unga, wavuta bangi, na tulio taka tusubiri tukomae kwanza, kumbe tulikataa bahati.
Niliona ktk movie jamaa mmoja akisema "unapiga mateke bahati wewe", nikawaza wengi tulipiga mateke bahati hivi eh?.
Ndio mipango ya mungu kila mtu na rizk yake. Wa moja ni wa moja. Bahati haiji mara 2, waswahili walisema.
So nimebakia kuongea ongea na kujipa moyo, na kujijibu mwenyewe, hahaha. Kuna kaka mmoja wa kichaga aliniambia wewe ni nsuri sana, wanawake wasuri matatizo, nikaona duh,
Mwengine wa kingoni akasema yeye anataka miguru baja,
Mwengine wa kisukuma akasema ananiogopa sababu ni nzuri,
Mwengine wa Kizenji akasema mwanamke mwenye elim na pesa mjeuri, nikaona duh,
ukiwa nzuri matatizo, ukiwa na elim matatizo ukiwa na pesa matatizo, ukiwa masikini matatizo ukiwa kama tofari matatizo, haya jamani
Bora niende kijijini nikaolewe na kibabu mkulima, maisha wawili wawili, kufa kuzikana na maisha popote penye upendo na amani, mambo ya PHD yamenishinda, Good luck 2 all.
Niliona ktk movie jamaa mmoja akisema "unapiga mateke bahati wewe", nikawaza wengi tulipiga mateke bahati hivi eh?.
Ndio mipango ya mungu kila mtu na rizk yake. Wa moja ni wa moja. Bahati haiji mara 2, waswahili walisema.
So nimebakia kuongea ongea na kujipa moyo, na kujijibu mwenyewe, hahaha. Kuna kaka mmoja wa kichaga aliniambia wewe ni nsuri sana, wanawake wasuri matatizo, nikaona duh,
Mwengine wa kingoni akasema yeye anataka miguru baja,
Mwengine wa kisukuma akasema ananiogopa sababu ni nzuri,
Mwengine wa Kizenji akasema mwanamke mwenye elim na pesa mjeuri, nikaona duh,
ukiwa nzuri matatizo, ukiwa na elim matatizo ukiwa na pesa matatizo, ukiwa masikini matatizo ukiwa kama tofari matatizo, haya jamani
Bora niende kijijini nikaolewe na kibabu mkulima, maisha wawili wawili, kufa kuzikana na maisha popote penye upendo na amani, mambo ya PHD yamenishinda, Good luck 2 all.