lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Sikutegemea kama kuna siku ningekaa na kufuatilia tamthiliya ya kiswahili ya kibongo tangu kuvunjika Kaole sanaa group,Enzi zile marehem mpendwa wetu kanumba akiwa hajaota kitambi,Ray akiwa hajajichubua!...ohh siku zile za marehem mzee kipara,Pwagu na wengine wengi....Hakika kaole imerudi kama kaone sanaa group ungana nao tv1 saa mbili kamili usiku halafu utanirudishia feedback...tamthilia inaakisi maisha halis ambayo watanzania weng wanaishi kwa sasa,visa vya mama mkwe,ndoa za mitala,michepuko nk..mimi ningekuwa naandaa tuzo za filamu abadan nusu ya tunzo ingeishia kaone ..they are so pure..hawafoji! anayenipinga anyooshe mkono..natabiria kina kanumba wengi kuzaliwa ktk hiki kikundi