Heko kwa bodaboda wa Kituo Kipya Gongo la Mboto DSM

Heko kwa bodaboda wa Kituo Kipya Gongo la Mboto DSM

Ludoby

Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
37
Reaction score
55
Nimefurahishwa sana na bodaboda wa Kituo Kipya Gomz DSM, Nmependa sana utaratibu wa kusimamisha watu kutopita njia ya SGR pale zipitapo treni mimi nmepita leo mida ya saa1 jioni hivi nkajiuliza kuna nini hapa kusubiri kidogo naona treni ya SGR hii hapa Hongereni sana kujali uhai hasa kwa watoto wadogo nmeipenda bure 🙏✨🕊️
 
Sina ufahamu wa hapo pako vipi ila Ni treni inakatiza kwenye barabara ya lami ? Hakuna kizuizi au taa/kengele kuashiria treni inakaribia kupita? Maana hiyo ni hatari sana kama ikitokea unakatiza muda ambao bodaboda hawapo
 
Sina ufahamu wa hapo pako vipi ila Ni treni inakatiza kwenye barabara ya lami ? Hakuna kizuizi au taa/kengele kuashiria treni inakaribia kupita? Maana hiyo ni hatari sana kama ikitokea unakatiza muda ambao bodaboda hawapo
Ni hoja nzuri umeleta mimi nawapongeza wao kufanya kitu walau wanapokua pale nadhan wanajua ratiba ya SGR.
Ni hatar kabisa mana hakukuwekwa nyenzo sahihi ya watu kuvuka kwenda upande wa pili japo bado naona wanafany kaz nzur hao boda.
Ni kama walilazimika kugoma ili eneo ilo liwe na kanjia ka kuvuka upande wa pili ili kurahisisha maisha.
 
Back
Top Bottom