Heko kwa dk. Benson Bana, Asiyetaka posho laki tatu akae pembeni

Heko kwa dk. Benson Bana, Asiyetaka posho laki tatu akae pembeni

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2010
Posts
1,005
Reaction score
82
Katika kipindi cha radio one cha kumepambazuka leo kaojiwa dk benson bana kuhusiana na madai ya kuongezewa posho kwa wajumbe wa bunge la katiba.kwa maoni yake ni kwamba mjumbe anayeona posho n ndogo basi aandike barua kuwa akubaliani na posho ya laki tatu na aachie ngazi wanaoweza pokea laki tatu wakaendelee kututengenezea katiba.kwa kweli naunga mkono hoja hii..wajumbe na wabunge bunge la katiba sio sehemu ya kutafutia mtaji wa biashara.kuweni wazalendo mtutengenezee katiba
 
Katika kipindi cha radio one cha kumepambazuka leo kaojiwa dk benson bana kuhusiana na madai ya kuongezewa posho kwa wajumbe wa bunge la katiba.kwa maoni yake ni kwamba mjumbe anayeona posho n ndogo basi aandike barua kuwa akubaliani na posho ya laki tatu na aachie ngazi wanaoweza pokea laki tatu wakaendelee kututengenezea katiba.kwa kweli naunga mkono hoja hii..wajumbe na wabunge bunge la katiba sio sehemu ya kutafutia mtaji wa biashara.kuweni wazalendo mtutengenezee katiba

Usikurupuke wote turn watanzania hakuna usawa wa engine wale 420 na engine 300 wao wanabubora gani na wa kwetu wanapungua mini. Wote washuke kwa laki 3 au wote waende 420.
 
Usikurupuke wote turn watanzania hakuna usawa wa engine wale 420 na engine 300 wao wanabubora gani na wa kwetu wanapungua mini. Wote washuke kwa laki 3 au wote waende 420.
Njaa inakusumbuwa wewe bwegge, Zanzibar ni nchi na wana uhuru wa kupanga mambo yao.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Usikurupuke wote turn watanzania hakuna usawa wa engine wale 420 na engine 300 wao wanabubora gani na wa kwetu wanapungua mini. Wote washuke kwa laki 3 au wote waende 420.

Wewe sio Mtanzania,tuachie mambo yetu tuyajadili wenyewe.
 
Njaa inakusumbuwa wewe bwegge, Zanzibar ni nchi na wana uhuru wa kupanga mambo yao.

Tunajua kuwa kulikuwa na majina 3000+ ya walioomba; kwa hiyo wanaoona laki 3 hazitoshi waachie ngazi then from the same list wateuliwe wapya kuwa replace mara moja; hakuna haja ya kuwabembeleza hawa wachumia matumbo kina Richard ndassa!
 
Back
Top Bottom