Heko NEC kwa kutuongezea muda wa kuisoma Katiba Inayopendekezwa ili tufanye maamuzi sahihi

Heko NEC kwa kutuongezea muda wa kuisoma Katiba Inayopendekezwa ili tufanye maamuzi sahihi

bmbalamwezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
788
Reaction score
195
Heko NEC kwa kutuongezea muda wa kusoma katiba na kufanya maamuzi sahihi.hakika hapa nawasifu kwa uamuzi wenu wa busara kutuongezea muda wa kuisoma na kuitafakari Katiba Inayopendekezwa pia mmeziba midomo ya w atu waliokuwa wanalalamika kuhusu muda w a kuisoma katiba kuwa ni mfi mno. Sasa waseme jingine kw a maana w amejawa na domokrasia badala ya demokrasia. Huu ni muda mzuri wa kushiriki katika civic education. Utumie vi zuri utajifunza mengi kuliko kulalamika. Kwenu wadau:majani7:
 
Heko NEC kwa kutuongezea muda wa kusoma katiba na kufanya maamuzi sahihi.hakika hapa nawasifu kwa uamuzi wenu wa busara kutuongezea muda wa kuisoma na kuitafakari Katiba Inayopendekezwa pia mmeziba midomo ya w atu waliokuwa wanalalamika kuhusu muda w a kuisoma katiba kuwa ni mfi mno. Sasa waseme jingine kw a maana w amejawa na domokrasia badala ya demokrasia. Huu ni muda mzuri wa kushiriki kaika civic education. Utumie vi zuri utajifunza mengi kuliko kulalamika. Kwenu wadau:majani7:



Sasa ni jukumu la kila MTANZANIA kutumia haki yake vizuri kwa Kuisoma KATIBA PENDEKEZWA na kujitokeza kujiandikisha ktk daftari la kudumu la wapiga kura ili mda ukifika afanye maamuzi yake mwenyewe bila kushurutishwa.

PIA me nawashauri msiwasikilize hawa Viongozi wa DINI maana na hao ni watu kama sisi TUMIA akili yako na haki yako vizuri

It's Better ukajitokeza kupiga kura iwe ya NDIYO/HAPANA Usikubali kupelekeshwa na mtu yeyote (maamuzi ni yako)

Mwisho
TUISOME KATIBA PENDEKEZWA KWA UMAKINI ZAIDI na MAHALI HUJAELEWA ULIZA UELEWESHWE na SIO KUPINGA/KUBISHA USICHOKIELEWA

Na Ukieleweshwa elewa (Tyta a.k.a Teita)
 
Sasa ni jukumu la kila MTANZANIA kutumia haki yake vizuri kwa Kuisoma KATIBA PENDEKEZWA na kujitokeza kujiandikisha ktk daftari la kudumu la wapiga kura ili mda ukifika afanye maamuzi yake mwenyewe bila kushurutishwa.

PIA me nawashauri msiwasikilize hawa Viongozi wa DINI maana na hao ni watu kama sisi TUMIA akili yako na haki yako vizuri

It's Better ukajitokeza kupiga kura iwe ya NDIYO/HAPANA Usikubali kupelekeshwa na mtu yeyote (maamuzi ni yako)

Mwisho
TUISOME KATIBA PENDEKEZWA KWA UMAKINI ZAIDI na MAHALI HUJAELEWA ULIZA UELEWESHWE na SIO KUPINGA/KUBISHA USICHOKIELEWA

Na Ukieleweshwa elewa (Tyta a.k.a Teita)

Safi sana maan huyo kijana anaejiita TYTA nimeskia anamiliki IDs nyingi ya Tyta na Tetty inamana huyu mtu huenda katumwa humu ndani kupotosha umma na kuja na matuc.
 
Sasa ni jukumu la kila MTANZANIA kutumia haki yake vizuri kwa Kuisoma KATIBA PENDEKEZWA na kujitokeza kujiandikisha ktk daftari la kudumu la wapiga kura ili mda ukifika afanye maamuzi yake mwenyewe bila kushurutishwa.

PIA me nawashauri msiwasikilize hawa Viongozi wa DINI maana na hao ni watu kama sisi TUMIA akili yako na haki yako vizuri

It's Better ukajitokeza kupiga kura iwe ya NDIYO/HAPANA Usikubali kupelekeshwa na mtu yeyote (maamuzi ni yako)

Mwisho
TUISOME KATIBA PENDEKEZWA KWA UMAKINI ZAIDI na MAHALI HUJAELEWA ULIZA UELEWESHWE na SIO KUPINGA/KUBISHA USICHOKIELEWA

Na Ukieleweshwa elewa (Tyta a.k.a Teita)

Msingi wa mijadala ya Katiba Inayopendekezwa ni kuelimisha Watanzania ili wajue, unapopata fursa ya kuelimishwa tumia. Nzuri zaidi ukipata nakala yako ya Katiba isome na uwashirikishe ngd waliokaribu nawe maana wewe utakuwa msaada mkubwa wa wao kuelewa vizuri zaidi. Tuelimishane kwa tija ya Watanzania na Tanzania yetu
 
Sasa ni jukumu la kila MTANZANIA kutumia haki yake vizuri kwa Kuisoma KATIBA PENDEKEZWA na kujitokeza kujiandikisha ktk daftari la kudumu la wapiga kura ili mda ukifika afanye maamuzi yake mwenyewe bila kushurutishwa.

PIA me nawashauri msiwasikilize hawa Viongozi wa DINI maana na hao ni watu kama sisi TUMIA akili yako na haki yako vizuri

It's Better ukajitokeza kupiga kura iwe ya NDIYO/HAPANA Usikubali kupelekeshwa na mtu yeyote (maamuzi ni yako)

Mwisho
TUISOME KATIBA PENDEKEZWA KWA UMAKINI ZAIDI na MAHALI HUJAELEWA ULIZA UELEWESHWE na SIO KUPINGA/KUBISHA USICHOKIELEWA

Na Ukieleweshwa elewa (Tyta a.k.a Teita)
Bravo! Laizer wasaidie hao watz wawe na uelewa mzuri wa Katiba Inayopendekezwa. Good Friday!
 
Msingi wa mijadala ya Katiba Inayopendekezwa ni kuelimisha Watanzania ili wajue, unapopata fursa ya kuelimishwa tumia. Nzuri zaidi ukipata nakala yako ya Katiba isome na uwashirikishe ngd waliokaribu nawe maana wewe utakuwa msaada mkubwa wa wao kuelewa vizuri zaidi. Tuelimishane kwa tija ya Watanzania na Tanzania yetu


Ndo ivo yani
 
Hatua muhimu kuhusu kura ya maoni kwa kurejea Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2012]

(1) "kura ya maoni" maana yake ni kura iliyopigwa na wananchi kwa mujibu wa masharti ya Sheria hii kwa madhumuni ya kuridhia Katiba inayopendekezwa;
(2) Kwa madhumuni ya kuyapatia uhalali masharti yaliyomo kwenye Katiba inayopendekezwa, kutakuwa na kura ya maoni itakayoandaliwa, kuendeshwa na kusimamiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
(3) Ndani ya siku saba baada ya kuchapishwa Katiba inayopendekezwa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar itatayarisha na kuchapisha kwenye Gazeti la Serikali swali litakaloamuliwa kwa kura ya maoni.
(4) Ndani ya siku kumi na nne baada ya kuchapishwa kwa swali katika Gazeti la Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar itatangaza taarifa inayoainisha: (a) siku ambayo kura ya maoni itafanyika;
(b) muda wa upigaji kura ya maoni; na
(c) muda wa kuelimisha na kuhamasisha wananchi kupiga kura ya maoni juu ya Katiba inayopendekezwa.
(5) Kwa madhumuni ya kuelimisha na kuhamasisha wananchi kuhusu kuipigia kura ya maoni Katiba inayopendekezwa, Tume italazimika, na vyama vya siasa na vyama vya kijamii vinaweza kutoa elimu ya uraia na uhamasishaji juu ya Katiba inayopendekezwa kwa muda usiozidi siku thelathini kuanzia siku ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali.
(6) Ndani ya siku ishirini na moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza taarifa, msimamizi wa uchaguzi wa kila jimbo la uchaguzi atawataaarifu wananchi wa eneo analohusika nalo kuhusu utaratibu wa uendeshaji wa kura za maoni.
(7) Mtu yeyote ambaye jina lake limeingizwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanzishwa chini ya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar ya mwaka 1984, atakuwa na haki ya kupiga kura, isipokuwa kama mtu huyo atakuwa amezuiwa kupiga kura na sheria nyingine yoyote.
 
Swala la msingi hapa ni kwa kuwa kura ya maoni kuhusu katiba mpya imesogezwa mbele basi ni muda muafaka kuisoma katiba inayopendekezwa na kuielewa vzr,kwa kuwa kwa sasa kuna watu wachache wanaendeleza upotoshaji kuhusu yaliyomo ndani ya katiba pendekezwa,katiba hii kimsingi imetokana na wananchi wenyeewe hivyo ni wakati muafaka sasa tuweke mkazo katika jambo hili kwa mustakabali wa taifa letu
 
Back
Top Bottom