Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 258
Sasa inabidi nianze kuwapongeza watumishi wa serikali wanaofanya madudu katika kazi zao kwa sababu wamekuwa SUGU, hawasiki wala kuona aibu wakilaumiwa au kulalamikiwa kwa utendaji wao mbovu. Leo nimemshuhudia Kwamba akitangaza bila soni kufuta matokeo ya wanafunzi 700 kwa kuandika matusi kwenye answers sheets zao. Mwakajana mwanafunzi mmoja aliandika mistari ya bongo fleva, mwaka huu matusi baado waziri yumo tuu.
Naamini matokeo haya ni mbinu ya viongozi wetu kuwaandaa watoto wao kuwa watawala na watoto wetu watawaliwa wa milele.
Naamini matokeo haya ni mbinu ya viongozi wetu kuwaandaa watoto wao kuwa watawala na watoto wetu watawaliwa wa milele.