Heko Wakenya

My dress my choice......... I like that kila mtu ana uhuru wa kuvaa atakavyo
 
Kwa nini usiweze? Hiyo marufuku imeandikwa wapi?

Attitudes kama zako ndo huwapa hamasa hao wahuni kufanya uhalifu wao.

I Dont care about my atitude bt umakin wa mtu unaanza kwa mtu mwenyewe... we kama unabisha vaa ovyo wakuvue ndo utajifunza
 
Nyani Ngabu mbona hata hapa kwetu kuna sheria inayowatia hatiani wale wote wenye kumdhalilisha mwanamke...

Na tena hata ukimgusa maungoni pasipo ridhaa yake kwa lengo la kumdhalilisha na kumsababishia aibu, unashitakiwa vizuri kabisa...

Hapa sina kijarida cha katiba ningelibandika kipengele hicho...
 
Last edited by a moderator:
I Dont care about my atitude bt umakin wa mtu unaanza kwa mtu mwenyewe... we kama unabisha vaa ovyo wakuvue ndo utajifunza

Kuvaa hovyo ndo kukoje? Nani anaamua hili vazi ni hovyo na hili si hovyo?

Umakini au utovu wa umakini katika mavazi ya mtu ni mambo yake mwenyewe. Wewe na mimi hayatuhusu.

Hakuna mwenye haki wala mamlaka ya kujiamulia kuwa mavazi aliyovaa mtu mwingine barabarani yanakiuka maadili hivyo anastahili kuchaniwa chaniwa alichovaa.
 

Kama hujui kuvaa ovyo vaa wakishakuvua, wakupige madole wale wahun utajua wat i Mean.... vaa kutokana na mazingra husika
 
Kama hujui kuvaa ovyo vaa wakishakuvua, wakupige madole wale wahun utajua wat i Mean.... vaa kutokana na mazingra husika

Mi navaa vyovyote vile navyotaka na hakuna, narudia tena, hakuna atakayethubutu kunisogelea.
 
hiyo sheria ije tanzania haswa vijana wa kariakoo wanahitaji kuwajibishwa kwa upuuzi wao wa kudhalilisha wanawake

Mtembee makalio wazi, mtujambie, mtulishe papuchi zenye mchanga, nyonyo njenje, hahahhahahah SISI WAUME ZENU TUNASEMA MTAVAA TUNAVYOTAKA SISI, full stop
 
nadhani nyerere aliwahi sana kutupatia uhuru.....angeacha kidogo wakoloni watushape ubongo kama nchi nyingine ilivyokuwa.......haswa katika maswala ya utawala na usimamizi wa hazina ya nchi katika kuleta maendeleo........

Alichokosea JK Nyerere ni kutuletea Uhuru kwa njia za kidiplomasia, ilitakiwa watu wauane kwanza heshima inhelikuwepo
 
Mtu anayefikiria kwa upeo mkubwa na kufanyia kazi mambo ya maana hatakaa akawaza mwana fulani kavaa nguo fulani na kwa sababu fulani, there's no sound mind that can do that. Wanaofanya hivo ni opposite.

Tembea ukituonesha papuchi, tembea ukituonesha nyonyo zako, inaonekana wanawake mkiachwa mjiamulie kila kitu mnakuwa WEHU kabisa...

Hata nyumba ambazo kiongozi wake ni SHE basi ni Nyumba mbaya kabisa
 
katika nchi za Africa mashariki I do salute kenya haitaki upuzi na wapo makini na mambo yao kwenye nyanja zilizo nyingi...
 
Mtembee makalio wazi, mtujambie, mtulishe papuchi zenye mchanga, nyonyo njenje, hahahhahahah SISI WAUME ZENU TUNASEMA MTAVAA TUNAVYOTAKA SISI, full stop

mi navaaga kiheshima sio kwa kumuogopa mtu bali kutokana na jinsi nilivyolelewa
bali hata hao wanaovaa mini skrt wewe hawakuhusu uamuzi ni wao we unaongea kama nani
 
Me hii tabia ya wahuni wa mitaani huwa inaniudhi sana, sijui ni kukosa kazi? Kama mtu yuko huru na alichokivaa wewe inakuadhiri nini? Halafu huwa wanawaonea wadada wanaopanda daladala, wenye magari yao mbona huwa hawawafuati? Unakuta mdada kavaa nguo fupi haswa lakini yuko na usafiri wake na hakuna wa kumgusa. Ni upumbavu tu huo
 
Nyani Ngabu


Kwangu mimi huu woote ni Upuuzi na ujinga wetu sisi Waafrika na ndio maana tutabaki kuwa nyuma siku zoote, tunapoteza nguvu nyingi na Muda kwenye mambo ya kijinga na yasiyo na umuhimu wowote ktk maisha kama vile haya sijui ya kupinga uzalilishwaji wa Wanawake waliovaa nguo fupi n.k

Tulitakiwa tuwekeze hizi nguvu zote kwenye uzalishaji wa chakula ili kwanza tupate Chakula cha kutosha kwa Watu wetu na kuongeza IQ au uwezo wa Kutataua matatizo, tuwekeze nguvu zote kwenye Elimu (bora) ya watoto wetu, tuwekeze nguvu zote kwenye makazi bora ya watu wetu, tuwekeze nguvu zote kwenye kuzalisha Ajira za Watu wetu hasa Vijana tukishafanya hayo ndio tuanze kuangalia Sijui Haki za wanawake wanaovaa watakavyo, sijui haki ya Mtoto kike kuolewa na kuchagua Mchumba sijui haki ya watu wa jinsia Moja kuoana na huo upuuzi mwingine wote!


Hayo mambo huwa yanakuja baadaye ktk jamii zote baada ya kuamliza mambo ya Msingi kwanza, sasa ukiangalia Kenya hata Amani hakuna watu wanapigwa Risasi kwa kuwa tu wana Imani nyingine halafu haya yote SIYO muhimu ila hili la sijui Mwanamke kuzomewa na Vijana ambao hawana kazi kisa kavaa nguo fupi ndio Serikali nzima inaongea na Upuuzi Uliopitiliza na nasema, Fvck Them!
 
Last edited by a moderator:
Mwenye akili ni wewe ambaye kutwa kuionesha papuchi nje kama matangazo ya .....!

Na wewe usiuonyeshe yako kwani inakuuma nini akiionyesha yake? Instead ya kuweka kejeli kila mtu aaanze na dada, mama, binti zake huko nyumbani akivaa nguo mbaya mrudishe ndani inabidi tuanze kuinstill discipline toka watt wakiwa wachanga otherwise na nom ya single mothers inavyyoongezeka tutazidi kuona madudu ya ajabu
 
Chupi siyo uchi!

Kuvaa mini skirt si sawa na mtu kutembea uchi.

Acheni kutia chumvi.

Hapo ndo ninapowashangaa watu.. Utasikia mtu anatembea uchi.. Wanajua maana ya uchi..? Ni mwanamke gani (ukiwatoa wenye matatizo ya akili) atakaeweza kutembea barabarani uchi..? Siipendi hii tabia ya kinafiki sana..
 
Reactions: BAK

Watu ako nakula ugoro nyumbani, wazazi wako stimu, manzi ako stimu, hakuna wa kumzuia ingine kuvaa mini skirt...! But what is the actual reasons and facts forcing our MANZI to wear a half naked dress...

Wakavae na huko church, wakavae na misikitini, hii manzi akili yote iko kwenye Puchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…