Hela sio ya kusolve matatizo peke yake

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Huwa nashangaa mtu anapata pesa anabaki na mawazo mengi kichwani yaani in short anaitesa pesa yake anaipa changamoto pesa yake kazi yake inakuwa ni kutatua tu matatizo mara ya wagonjwa mara ya madeni.

Sikatai kutumia pesa kwenye shida ila usijisahau babu kula kidogo sheikh kula kuku au safari lager kidogo kijana. Kesha piga kazi Kesha kula maisha.
 
Pokea mshahara usitenge hata 30000 Cha peke Yako kunywa supu kula kuku....halafu watakula.kwenye msiba wako maisha nn I hayahaya woi
Usitumike hovyo... Ponda Mali kijana....
Sio mshahara wote unakabidhi wife eti apange bajeti
 
Usitumike hovyo... Ponda Mali kijana....
Sio mshahara wote unakabidhi wife eti apange bajeti
Hahaaaa.....Mimi Kila mwenzi Nina utaratibu wa kujizawadia kwenye mapato yangu pesa hiyo ipo....nijibane nisile kuku wa kujipongeza Ati nasubiri uzeeni vp dhahma za uzee usile hichi usile kile hahaàaaa kuku ninakula angali ni kijana.....sinywi pombe Wala kilevi chochote....
 
Kabisaaa kaka..... Maisha yenyewe mafupi hayaaaaa
 
Hivi pesa ndo ina maliza matatizo au matatizo ndo yana maliza pesa?
Sio kila tatizo linahitaji pesa uweze kutatua kwahyo sio kila tatizo linakumalizia pesa zako Na pia Pesa haiwezi kumaliza kutatua matizo yote na ndio maana kuna watu wanapesa bado kuna matatizo wanashindwa kutatua ningekupa mfano wa mzee maliga yupo iringa anatibu watu waliopata ajali ya miguu na mikono kuvunjika kwa kutumia dawa za asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…