Helen Suzman atutoka!

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Ni mara nyingi huwa tunajisahau na kudhani kuwa vita ya kumkomboa mwafrika ilipiganwa (?) na mtu mweusi peke yake. Tunawasahau wakina Ruth First, Joe Slovo, Athol Fugard, Nadine Gordimer na wengine ambao walisimama kidete kumpigania mtu mweusi Afrika ya Kusini. Leo mmoja wao, Helen Suzman ( bofya hapa kwa habari zaidi:BBC NEWS | Africa | Suzman 'brave voice' on apartheid) ametutoka.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!

Amandla............
 
Niliona kwenye France 24.Mungu amlaze mahali pema peponi.
 
She was a gallant fighter!! RIP Helen Suzman.
 
RIP Helen, you will foreva be remembered.
 
She will be remembered for what she did, may god rest her sould eternal peace AMEN
 
chozi limenitoka...........................helen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…