Ni ngumu kuamini ila mapenzi yako yatimie Mungu wetu, lakini kibinadamu tunakuona Mungu kama umetudhulumu.
Alikuwa bado kijana potential kwa mustakabali wa nchi yetu.
Wafariji wafiwa, e Mungu wetu.
Kwaheri Deo! Mmoja wa wazalendo wachache walio bakia CCM, nilipenda sana michango yako Bungeni,hakika "Wema hawana maisha".... Nukuu ya wimbo wa Balisidya .