Urais. =urahisiInawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Inawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Kapuku 🐼Wewe kapuku achana na Chadema, unajua tukiacha Wajinga kama nyie mkaendelea kuleta ujinga wenu humu wote tutaonekana Wapumbavu.
Nani kaukuambia huo upuuzi wako? Lissu alishafafanua humu kuhusu huo uzandiki wenu mbona bado mnazusha tu?
Yaani Masikini wa Akili na helaKapuku 🐼
CCM mnamuogopa Lissu a.k.a TrumpInawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Vibaya mno!CCM mnamuogopa Lissu a.k.a Trump
Lisu ndo Trump wa Tz,tulia dawa ipo jikoniInawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Wenzao wanaiba wao wapo huku kupotosha watu,Ngoja tuone chura Kiziwi kama ataweza Kampeni mwakani nchi nzima.Wewe kapuku achana na Chadema, unajua tukiacha Wajinga kama nyie mkaendelea kuleta ujinga wenu humu wote tutaonekana Wapumbavu.
Nani kaukuambia huo upuuzi wako? Lissu alishafafanua humu kuhusu huo uzandiki wenu mbona bado mnazusha tu?
Aliyekuloga naye kalogwaLissu anachofanya ni kujipotezea tu muda. Wanaofaidika na CHADEMA ni Mbowe na wenzake kutoka Machame. Juzi nimeona yupo kwenye helikopta na mwanae James pamoja na Lema. Hiyo helikopta ni wamachame tu? Namshauri Lissu ahamie CCM anaweza akapata hata cheo cha katibu mwenezi CCM mkoa wa Singida.
Lissu ana akili timamu hawezi kuja CCM maadui zake wakubwa. Lissu hana ugomvi na Chadema wala kiongozi yoyote wa Chadema tofauti na hizo propaganda zenu mfu. Mumechukua huyo tumbili Msigwa hangaikeneni naye kwanza.Lissu anachofanya ni kujipotezea tu muda. Wanaofaidika na CHADEMA ni Mbowe na wenzake kutoka Machame. Juzi nimeona yupo kwenye helikopta na mwanae James pamoja na Lema. Hiyo helikopta ni wamachame tu? Namshauri Lissu ahamie CCM anaweza akapata hata cheo cha katibu mwenezi CCM mkoa wa Singida.
Msimshangae sana Lussu. Hili nawakumbusha kila siku, lakini naona bado halijawaingia, Lussu ana aina ya utaahira uitwao usonji "autism".Inawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Wewe kapuku achana na Chadema, unajua tukiacha Wajinga kama nyie mkaendelea kuleta ujinga wenu humu wote tutaonekana Wapumbavu.
Ratiba ilionesha TAL atakuwepo kwenye uzinduzi wa mikutano pale Karatu na alikuwepo alipomaliza mkutano ameendelea na ratiba yake ya mapunziko na kwenda kucheki afya yake kama kawaida akirejea moto kama kawaida kama alivyovuruga Singida hukoInawezekana helkopta ilitua vibaya (kwa kujibamiza chini) ikachokonoa majeraha ya Lissu ndio maana haonekani kwenye kampeni?
Namshauri ajipe muda apone vizuri, sio chini ya miaka mitatu au minne. Asichukulie urais kama jambo la dharura kwake. Hili lo nchi lipo tu, aangalie afya yake kwanza.
Mbona nasikia kuna vyuma vilichomokaRatiba ilionesha TAL atakuwepo kwenye uzinduzi wa mikutano pale Karatu na alikuwepo alipomaliza mkutano ameendelea na ratiba yake ya mapunziko na kwenda kucheki afya yake kama kawaida akirejea moto kama kawaida kama alivyovuruga Singida huko