Kibunango bwanaHuyu hapa chini ana gonjwa gani?
Tunaongelea mgonjwa wa taifa sasa wewe unatuletea mambo gani, haya ndiyo matatizo ya kuingilia topic. Naona tatizo lako hapo ni lugha tu Slaa aliposema he fell sick for two days si kwamba alikuwa mgonjwa, hivi nikuambia i fell sick of your daughter ndo nitakuwa mgonjwa kitandani, elewa lugha za watu.Huyu hapa chini ana gonjwa gani?
Kiranga heshima mbele. Inamaana helikopta haiwezi kushindwa kutua kutokana na hali ya hewa?Hali ya hewa gani hiyo inasababisha helikopta ishindwe kutua na kuwezesha watu kibao kwenda kwenye mkutano? Helikopta hii ya aina gani? huko Ngara kuna kimbunga gani huko?
Au Kikwete bado mgonjwa wanaficha ?
Kiranga heshima mbele. Inamaana helikopta haiwezi kushindwa kutua kutokana na hali ya hewa?
Looh! Kiswahili kwako shida hali kadhalika Kiingerezahivi nikuambia i fell sich of your daughter ndo nitakuwa mgonjwa kitandani, elewa lugha za watu.
Mkoa wa kagera uko maeno ya Equator. climatic condition zake zinajulikana. naamini helikopta inayotumika sio ya kijeshi ni ya kitalii. Na hata ingekuwa ya kijeshi bado uwezo wa helikopta kuhimili mikiki mikiki ya dhoruba ni mdogo.
So i hope ni kweli.
Looh! Kiswahili kwako shida hali kadhalika Kiiengereza
Mkoa wa kagera uko maeno ya Equator. climatic condition zake zinajulikana. naamini helikopta inayotumika sio ya kijeshi ni ya kitalii. Na hata ingekuwa ya kijeshi bado uwezo wa helikopta kuhimili mikiki mikiki ya dhoruba ni mdogo.
So i hope ni kweli.
Say that in English
Yasijeyakawa yamemtokea juu kwa juu.
CCM si kuwaamini,
Pamoja na kukosewa kwa spelling lakini sentensi imeeleweka kuwa i fell sick of your daughter haina maana ya mimi ni mgonjwa kwa hiyo Slaa aliposema he fell sick for 2 days haina maana alikuwa mgonjwa, msiwe mnalazimisha mambo kuwa vile mnavyotaka yaweLooh! Kiswahili kwako shida hali kadhalika Kiingereza
Wewe Kibunango, tunajua huwezi kucommit class suicide. Unaweka quotations zisizo na maana. It is a known fact Kikwete ameanguka mara 4, Slaa aliugua kwa shock ya kuchaguliwa, nothing more. Mungu Anamwonyesha Kikwete na mafisadi wenzake, kilio cha watanzania kimesikika. Tumechoka kufisadiwa. Angalia wakina mama wanaokosa huduma za uzazi bora, watoto wanakaa chini mashuleni. Tanzania sasa hivi ni maskini kuliko Rwanda, Burundi, mpaka Haiti. Maisha bora kwa kila mtanzania, ni maisha bora kwa Kikwete na familia yake na watu kama ninyi, including you, Kibunango, mtoto wa system. Ita jina lolote, lakini unashabikia CCM kwa kuwa una personal interests. Shame on you CCM, your days are numbered.Huyu hapa chini ana gonjwa gani?