Elections 2010 Helkopta za kikwete zina walakini

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Niko makuburi nasikiliza mkutano wa chadema. Muda huu mnyika anaongea. Muda mfupi kidogo alizungumza mabere marando. Alisema kuwa helkopta moja ni ya fisadi mmoja kijana wa kihindi ana miaka 36. Ya pili ni ya makaburu wamiliki wa mgodi wa dhahabu. Wanatafua mmiliki wa helkopta ya tatu. Mtu huyu ataweza kuwakemea hawa wanaomfadhili? Ni wakati wa maswali na majibu sasa
 
kheeee...mbona hatari kubwa hiii
 
Heee, mwaka huu hakuna siri. Yaliyo chini ya kitanda au meza yatawekwa kinarani.
 
Wafukunyuzi mtutafutie nani anamiliki ya tatu. Helkopta ya chadema inamilikiwa na ndesa pesa
 
Kikwete amelost, msimu huu hana pa kutokea, siri zake zote zitajulikana mapema kabla ya 31 octoba
 
Namkubali mnyika. Kaulizwa maswali 10 na anayajibu moja baada ya jingine bila kusoma sehemu na kuwataja wahusika (kwa description)
 
Vyeo vya ukuu wa mikoa na wilaya vitafutwa chini ya uongozi wa slaa. Mameya watachaguliwa na wananchi na sio madiwani
 
Marando anahitimisha na sera ya majimbo, kuwa viongozi wote watachaguliwa na si kuteuliwa. Mkutano umeisha
 
Wakat kikwete akiwa Wilaya ya Ngara Helkopta 1 aliyokuja nayo ilkuwa na Makaburu zaidi ya 6 wamiliki wa Mgodi wa***************** kinachosemwa kinaweza kuwa na ukwel ndani yake
 
vpi mahudhurio na muonekano wa watu? wako excited? je imani yao kwa Slaa ikoje kwa jinsi wewe ulivyoona hapo uwanjani? je wako tayari kuyakubali haya mabadiliko yanayokuja endapo CHADEMA itaingia madarakani? tujuze toka hapo uwanjani kwa ufupi?
 
Wakat kikwete akiwa Wilaya ya Ngara Helkopta 1 aliyokuja nayo ilkuwa na Makaburu zaidi ya 6 wamiliki wa Mgodi wa***************** kinachosemwa kinaweza kuwa na ukwel ndani yake
Jamani tupatieni hapa jina la mgodi huu... Barrick au??? Hawa makburu nao wawe makini maana wasije wakajua Watanzania ni mabwege maana sisi si mabwege tena!:mad2:
 
Ndo maana nasema kuichagua CCM itakuwa ni grave mistake kwa watanzania. Kwa sababu CCM ndo wataintesify Ufisadi wakijua kwamba whatever they do bado wananchi watawasupport tu.
 
vpi mahudhurio na muonekano wa watu? wako excited? je imani yao kwa Slaa ikoje kwa jinsi wewe ulivyoona hapo uwanjani? je wako tayari kuyakubali haya mabadiliko yanayokuja endapo CHADEMA itaingia madarakani? tujuze toka hapo uwanjani kwa ufupi?

mahudhurio kwa ngazi ya kata kama hivi yanaridhisha. Watu walikuwa wakitaka zaidi kuhakikishiwa chadema watafanya nini kuhakikisha kura haziibwi kama 2005. Mnyika amefafanua vizuri mikakati. Watu wamekuwa wachangamfu na mwisho wa siku wamemshangilia sana mnyika
 
Hivi hiyo sheria ya gharama za uchaguzi haisemi lolote kuhusu kufadhiliwa na makampuni yenye interest za kibiashara nchini? Mliokwisha isoma tuambieni. Hata ethics zinakataza makampuni kuonyesha ushabiki wa wazi wazi kwa wagombea wa vyeo vya siasa.
 

sijaona Tatizo! Tatizo waliojitolea wana rangi tofauti na sisi AU..?
 
helikopta ya slaa inatoka vatican city wenye akili wafafanue
 

sijaona Tatizo! Tatizo waliojitolea wana rangi tofauti na sisi AU..?

Mkuu kama hujaona tatizo basi wewe ndio tatizo kwa sababu hujaona tatizo. Rangi, dini, jinsia na ukablia havina maslahi kwa taifa wakati huu. Usibadili mada kwa mambo ya rangi. UFISADI hauna rangi, dini, jinsia wala kabila. Hoja ni uhalifu wa kuteka mali za umma= UFISADI
 
mwaka huu kazi moja tu ndugu zangu, ni kuwakataaa, waende wakchunge ng'ombe vijijini kwao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…