Hellen wa DUSE (Chuo cha Ualimu) kama upo nakutafuta nisemehe

Midazolam

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
807
Reaction score
1,340
Wakuu msinulize maswali ila namtafuta.

Toka 2018 mpaka mwanzo wa 2019 mwezi wa tatu hivi

Kumbuka tulikutana kwenye daladala unatoka chuo watu tumebanana kwenye daladala ila kimuonekano kama ulikuwa unaumwa lakini hakuna aliyekuonea huruma hata wa kukupa siti ukae

Mwanaume nikakuone huruma nikakwambia njoo ukae nikasimama

Nikawa nakutazama kwa moyo na tabasamu nikawa nasema kimoyo moyo lazima nikashuke popote utakaposhuka ili nipate tu namba.

Tulipofika kituo fulani watu wakaanza kupungua nikasogea tukaa pamoja, stori zikaanza ukaniambia unaenda nyumbani Ila ukaniuliza bahari dispensary nikakwambia.

Tuliendelea kuchati mpaka tukawa wapenzi, tukawa tunacheza michezo ya kikubwa ,mpaka unakuja kipindi naishi nyuma ya sabasaba ukawa unanipikia chakula kitamu ,na kupeana mautamu.

Na kama pia unakumbuka mara ya kwanza ulipokuja gheto nikatumia ufundi wangu nikakuchezea wee ukajaa wa moto kweli japo mwanaume nilichukua soksi mapema nikaweka juu ya pilo ,nilipoona uko hoi nikavuta soksi naanza kuvaa uliruka juu ukasema kwa hiyo uniamini nilijiuliza sana,ukagoma ,mwanaume nikakudanganya kuwa nina u.t.i kwa hiyo sitaki kukupa u.t.i ukakubali nivae soksi na nilikupiga sana mashine cku hiyo ukanipa na sifa kedekede.

Baada ya siku mbili ukarudi gheto nikakushawishi twende tucheki afya ukakubali ,majibu yakaja vzr nikaendeleza kukupiga mti kama kawaida.

Ila kuna siku nikiwa nakupiga mti nikachanya file nikakuita kwa jina la demu wangu niliyempenda sana, ukaendelea kuvumilia,mwisho nikakwambia ukweli kuwa nahitaji kumuoa ukasema isiwe kesi

Hellen popote ulipo tambua nakutafuta sana ,unanijua vzr ukisoma huu ujumbe.nimetumia jina mmoja ili watu wasijue maana ningetumia majina yako yote isingekuwa poa.

Ni Mimi J wako.

Turudiane wangu ww ndo ulikuwa unanijua vzr maana ulikuwa na punzi ya kutosha na hapo ndo nilipokuwa nakupendea.rudi mamangu Ila kule nilihama nipo nyerere road siku hizi
 
Daah akina Hellen kumbe wanapumzi kali

Kwahiyo unachotaka ni pumzi yake tu ila kuoana ushaoana na mwingine.

Hellen anakuja Mkuu.
Bado cjaoa,ila anakitu special,yaani acha tu
 
Kweli fungu la kukosa uliyedhani utamuoa kumbe siyo now unatafuta subsitute huenda ashaolewa. Mimi kuna dada flani alikuwa ananielewa mimi nampotezea muda niliyekuwa nina plan kumuoa sikumuoa nimekuja kumtafuta baada ya miaka miwili nakuja gundua alishaolewa namuona tu insta ni mke wa pastor flani mkubwa huko Kenya ana maisha mengine kabisa.
Sema alijua kunivumilia sana yani hakuna picha yangu alikosa ona na mimi sikujali.
 
Ww acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…