Hellen wa DUSE (Chuo cha Ualimu) kama upo nakutafuta nisemehe

Hellen usije olewa na hili jamaa linaota ngono tu. Yani kwa ulivyoandika wewe thamani yake unaiona kwenye kupigana miti tu. Ndio maana alikimbia maili mia.
Siwezi kueleza kila kitu ,ningeeleza isingemaliza kusoma
 


 
Embu huko Soma vizuri..unawaza naniliu tu hapo shemeji

[emoji3] nipo likizo ya naniliu shem ila nliona kama umeuliza ni dushe au duse nikasema kama ni dushe basi hapa sina shemeji [emoji23]
 
Duse au DUCE bro unakwama wapi?
 
Nimewahi kutana na kitu moja Karatu mpaka kesho akili yangu imegoma kabisa kuitoa Akilini hio Pisi, Yani imekamilika idara za Ndani na Nje, Nimeamua ķuifanya Mchepuko wa Kudumu(Permanent Diversion)
 

Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…