Hello future Hubby


Sura unayo au ni personal?
 
Na kama mpaka sasa hujapata mtu una gundu gani thread page ya 10???
 
Reactions: EEX
Haujataja umri wa mume umtakaye unaokaribiana na wangu ingawa mimi kigezo cha akili timamu sidhani kama nita-fit.Nitakusumbua tu.Nakutakia mafanikio mema,InshaAllah!πŸ™
Nimeshangaa hii namba 6!
Kuwa mmsabato hapana! Kwani hii inahusiana vipi na ndoa
 
Unahitaji watoto wangapi?
Je upo tayari kuishi nje ya nchi?
Nyash ipo je titi lipo pia?
Matiti ya nini wewe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£
Hujamaliza kunyonya
 

"Nyash ipo................."

Uzi mzima ila najua kuna watu wameona hapo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…