Kuna vitu hauwezi kuvitenganisha braza, na hii combo ni mojawapo msabato, tai na makande......aaah dam damSiku hizi hatupiki makande bwanaπ€£
Mbona wanaume warefu mnawapendelea sana, wafupi media tufanye kikao.Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Liwe gumu gumu kidogo kama zege likae tumboni siku 3 π€£π€£π€£Kuna vitu hauwezi kuvitenganisha braza, na hii combo ni mojawapo msabato, tai na makande......aaah dam dam
Sasa hvi nimempata mtoto swaumu walahi... Ntakufa mimiUnasikitisha mdogo wangu, watakuua hao we haya
Acha kutuchawia Eve. Hizo tai wala hatuzivai kivile..makande nina mda sana sijala..π€£Kuna vitu hauwezi kuvitenganisha braza, na hii combo ni mojawapo msabato, tai na makande......aaah dam dam
Nina sifa za ziada, I mean zaidi ya uzitakazo wewe but nipo mkoani. Ikitokea umekosa huko mjini njoo kwanguWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
She is want??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaah ujue toka juzi kuna huyu mdada ana nisumbua sana ... Anaitwa THUso mbedu (Nawi)
View attachment 3177427
Sijaelewa what she is want to me..
Anatuma sana text...
But pearl watts muache kwanza naona kshaanza kushoboka kwa mauric sam
Kanikera mnooo
Duuh nini kimetokea....hebu ngoja kwanza nisome toka mwanzo....
KUna kijana wangu...ngoja nimshtue.....Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Usiseme Ivo dadaPole..mimi siwezi kuwa na mwanamumr aniliyemzidi umri
Ungeomba Mungu pia angalia vigezo vya msingiKila mtu na choice yake
Wivuu tuu..She is want??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]