Hello future Hubby

Mbona wanaume warefu mnawapendelea sana, wafupi media tufanye kikao.
 
Yashi ipo sawa,bikra ipo au ndo Yale ya msukuma na masai

Wanapandia basi katikati ya safari Tena porini ...wanalalamika wamekosa siti ya kukaa
 
Sisi wa Songea tumekosa nyasi ooooy njoo tucheze Lizombe wewe!!!
 
Hapo kwenye nyash watafurika wengi piem..!
Ila tusisikie milio ya afu tatu
 
Nina sifa za ziada, I mean zaidi ya uzitakazo wewe but nipo mkoani. Ikitokea umekosa huko mjini njoo kwangu
 
Hapo kwenye Nyashi na urefu na weusi [emoji39], mama nipokee naja kwako nikubalie.
 
KUna kijana wangu...ngoja nimshtue.....
Mashaulaaah hapo kwenye NYAASH hapooooo uuuWIIIIIIIIII πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…