Hello G.T

Asanten wakuu
Alaf kuna watu huko mtaani wanadanganyana eti kujiunga JF mpaka kiingilio cha 30K sijui hili limekaaje.Mods n vema mkaweka ABC(s) za jins ya kujiunga kwa uwaz maana wapo Guests wengi ila husta kujiunga kwa sabab kama hizo. Japo siyo vizur sana jukwaa hili likivamiwa na watu wenye u-facebook!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahitaji mb zako tu isitoshe ukiwa na freebasics app unaweza ingia bila mb kwa hiyo huo n uongo .karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…