Hello! hiv waweza soma Master Degree for 2,000,000/=

Joined
Dec 12, 2012
Posts
69
Reaction score
14
Jamani wana Jamii Forum naomba kujuzwa hiv kunachuo chochote hapa Tanzania unaweza soma Master Degree kwa Tsh.2,000,000/= Kama Ada? kwa kozi yoyote ile
 
kwa hiyo pesa sidhani kama kuna possibility ya kupata chuo kitakachokubali but im not sure sababu cjui ada za vyuo vyote
 
Hyo ni kwa miaka yote miwili au mmoja ?!., weka wazi zaidi. Ila kwa miaka yote miwili sidhani gec the cheapest wil b 1.3 mil per year.
 
Tumia hyo 2ml kama mtaji wa kuanzishia biashara.achana na mambo ya masterz,utapoteza muda tu.nenda kwenye makampuni makubwa kama microsoft etc uone kama wale key people na CEO's wa hayo makampuni kama wana masters degree.
 
Tumia hyo 2ml kama mtaji wa kuanzishia biashara.achana na mambo ya masterz,utapoteza muda tu.nenda kwenye makampuni makubwa kama microsoft etc uone kama wale key people na CEO's wa hayo makampuni kama wana masters degree.

negative bra., elimu ni muhmu zaidi kwa taifa changa kama letu., kama kila mtu atabeza elimu kama unavyo wewe, je unataka watanzania wote wawe ma so called "CEOs" ?!.' bila wataalamu kwenye hayo makampuni ?., na je wewe ni CEO wa kampun gani hapa bongo. Don't misslead the mass, education is the key. Na ni biashara gani au kampuni gani atafungua kwa million 2 mpaka umfananishe na microsoft don !!?? Na inaelekea elimu yako ni darasa la moja, hata uandishi na grammar yako mbovu: "CEO'S" hapo apostrophy inaonesha pronoun of possesion badala ya CEOs kuonesha plural form !! Ni kawaida yenu watu msio na elimu kuwakatisha tamaa wale wanaotaka kujiendeleza........ @slo thinker. (mbulula)
 
Tumia hyo 2ml kama mtaji wa kuanzishia biashara.achana na mambo ya masterz,utapoteza muda tu.nenda kwenye makampuni makubwa kama microsoft etc uone kama wale key people na CEO's wa hayo makampuni kama wana masters degree.

Hizi tunaita pumba..
Nani kasema mtu anasoma masters ili awe CEO? Kumbe wewe ukipewa chance ya kusoma au mil 2 utachagua mil 2? Kwa taarifa yako MOST of the CEOs wana masters na Phd KASORO wale ambao ni OWNERS wa kampuni kama hiyo microsoft na kadhalika.
By the way anauliza wapi anaweza kusoma masters kwa hiyo hela na sio afanyie nini hiyo hela.
 
Tumia akili jamani sasa unataka asiendelee na masomo ili expert wajae nchini,utajisikia raha ukiongozwa na watu wa nje! Ndio nyie mnaosema kuwa mna madini kibao yanaliwa na G8,kumbe uelewi tatizo ni elimu isiyokizi teknologia ya madini.badilika ndugu
-pia ndugu yangu usimtukane mtu kwa alichokiandika tumetofautiana kimawazo mchukulie poa
 
Mkuu naomba unijuze hiyo Ada ya 1,800,000/= ni ya kozi gani? je na hiyo Ada kwa Kozi
yote au Kwa semister.Je na form wanatoa lini hapo OPEN UNIVERSITY?
 
Mkuu naomba unijuze hiyo Ada ya 1,800,000/= ni ya kozi gani? je na hiyo Ada kwa Kozi
yote au Kwa semister.Je na form wanatoa lini hapo OPEN UNIVERSITY?
 
Huwezi kwa hela hiyo. Karo ina rangemil2-5mil. Bado hela ya research na stipend.
 
Mkuu naomba unijuze hiyo Ada ya 1,800,000/= ni ya kozi gani? je na hiyo Ada kwa Kozi
yote au Kwa semister.Je na form wanatoa lini hapo OPEN UNIVERSITY?
Nadhani ungeenda ili upate hizi taarifa zote sababu mimi naona amekupa mwangaza sasa kazi kwako kufuatilia hapo OPEN UNIVERSITY.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…