Hello I’m new here

Duu wajuba kama wote huku[emoji28][emoji1787] kisa Miss Sia duu we binti haki ya nani umechanganya watu nilikuwa naenda jukwaa la Soka lakini ghafla nikafunga bleki huyo hapo mara nimo humu[emoji16]
Alafu eti utaskia Dunia ina wanawake wengi hizo comments zote kwani FB hawapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na kwajinsi anavyo tiririka, quotes, reply, kuifahamu avatar, kulifahumu jukwaa la mmu, kuifahamu pm na mambo zingine kama hizo...
Nalazimika kujiridhisha kwa kusema kwamba huyu ni mwenyeji, aliekuja na ID mpya.

Lol....no,mm ni mtundu tu, hakuna app ntayofugua ikanishinda kutumia, and the main reason i join here was to post my business but naona kila nikijaribu kupost inafutwa in seconds, I don’t know why. But anyways I’m enjoying this app so far and the attention I’m getting [emoji3][emoji16] somebody says power of the skirt![emoji85][emoji1][emoji38][emoji2][emoji847]
 
Na kwajinsi anavyo tiririka, quotes, reply, kuifahamu avatar, kulifahumu jukwaa la mmu, kuifahamu pm na mambo zingine kama hizo...
Nalazimika kujiridhisha kwa kusema kwamba huyu ni mwenyeji, aliekuja na ID mpya.
Mkuu unatibua madili ya watu utapigwa risasi au urogwe ufe oooh😅🤦🤪🏃
 
Na kwajinsi anavyo tiririka, quotes, reply, kuifahamu avatar, kulifahumu jukwaa la mmu, kuifahamu pm na mambo zingine kama hizo...
Nalazimika kujiridhisha kwa kusema kwamba huyu ni mwenyeji, aliekuja na ID mpya.
Atajijua mwenyewe Japo pia anaweza kuwa mgeni
 
[emoji23]ur quoting me
I'm new also but also naughty as you...
I have started many threads for few days as a newcomer mpaka wamenichoka[emoji23][emoji23]
 
Duu wajuba kama wote huku[emoji28][emoji1787] kisa Miss Sia duu we binti haki ya nani umechanganya watu nilikuwa naenda jukwaa la Soka lakini ghafla nikafunga bleki huyo hapo mara nimo humu[emoji16]

[emoji23][emoji23] I’m overwhelming too
 
Duu wajuba kama wote huku[emoji28][emoji1787] kisa Miss Sia duu we binti haki ya nani umechanganya watu nilikuwa naenda jukwaa la Soka lakini ghafla nikafunga bleki huyo hapo mara nimo humu[emoji16]
Ebu fanya kama unaionja sumu kwa kuilamba mzee, haipo rangi yenye utaacha kuiona...[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…