Hello I'm new member

Yaani ushajiunga ndio unauliza sheria za humu? Hayo ulipaswa kuyajua kabla hujajiunga ili ujitathmini kama utaweza kuendana na taratibu za humu au la.
 
Karibu Sana mwanachama mpya ukitaka kujua sheria onana na uongozi wa jamii forums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…