Hello, jamii forum

Hello, jamii forum

Joined
Aug 18, 2019
Posts
80
Reaction score
177
Naitwa SOSPETER JOHN MTATIRO NYAKIHA ni kijana mwenye umri wa miaka 22 naishi TABORA mjini ni mjasiliamali nafanya biashara ndogo ndogo nimefurahi kuungana nanyi wana jamii forum kama kuna mwana wa mboka humu Anicheki inbox tupeane michongo
 
tupia kwanza picha usijekuwa tapeli.
unafanya biashara gani?????
we ni ke/me?
 
tupia kwanza picha usijekuwa tapeli.
unafanya biashara gani?????
we ni ke/me?
Hizo am menView attachment 1658469
1602354953312.jpg
 
Do you know JamiiForums who we are? Umesoma Terms & Rules? Privacy Policy je?

Kama bado hebu pitia then u are most welcome & Merry Christmas Eve to ya
 
Naitwa SOSPETER JOHN MTATIRO NYAKIHA ni kijana mwenye umri wa miaka 22 naishi TABORA mjini ni mjasiliamali nafanya biashara ndogo ndogo nimefurahi kuungana nanyi wana jamii forum kama kuna mwana wa mboka humu Anicheki inbox tupeane michongo
Sawa duhhh.
 
Back
Top Bottom