MTAtiro grandson
Member
- Aug 18, 2019
- 80
- 177
Hizo am menView attachment 1658469tupia kwanza picha usijekuwa tapeli.
unafanya biashara gani?????
we ni ke/me?
Karibu sana Jf wewe ni raia mwema
tupia za kutosha dingilai....uko gudi arifu
[emoji120][emoji120]Karibu sana Jf wewe ni raia mwema
Sio kecSiku ya kwanza tu ushafeli mpaka hapo.
JF unaweka jina lako kamili, bado unaona haitoshi unatupia na picha kabisa na sehemu unayoishi.
[emoji33][emoji33]Karibu sana, huku hatutumiani picha[emoji22][emoji22]
Ha haaaa fb shule zimefungwa.
Sawa duhhh.Naitwa SOSPETER JOHN MTATIRO NYAKIHA ni kijana mwenye umri wa miaka 22 naishi TABORA mjini ni mjasiliamali nafanya biashara ndogo ndogo nimefurahi kuungana nanyi wana jamii forum kama kuna mwana wa mboka humu Anicheki inbox tupeane michongo
Tangu nianze kuijua JF, comment yako ni hii hii hasa kwenye hili jukwaa la utambulisho.Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.