Hello JamiiForums

Karbu sana ndugu maana umeficha id Ila ungetusaidia ni me au ke
 
BA's vzur utakua mzoefu maana wagen huwa hawajui me au ke kwa vle we umejua BA's sio mgen sana,,yte kwa yte karbu,hakuna kinachokosekana humu
 
Karibu,humu wadada wote wameolewa(kasoro mie). Kuwa makini na wake za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…