peaceful aman
Member
- Dec 28, 2016
- 18
- 9
akaKarbu sana ndugu maana umeficha id Ila ungetusaidia ni me au ke
thanks broKaribu mkuu
pamoja sana member!BA's vzur utakua mzoefu maana wagen huwa hawajui me au ke kwa vle we umejua BA's sio mgen sana,,yte kwa yte karbu,hakuna kinachokosekana humu
hahaa et kasoro mie!!!Karibu,humu wadada wote wameolewa(kasoro mie). Kuwa makini na wake za watu
TANGU DESEMBA MPAKA LEO NDO UNABISHA HODI?hodiii wanaJamiiForums..natumaini mtanikaribisha vizuri kijana mwenzenu..ahsante
Ahsante member kwan nmechelewa mkuu? ila poa nshakaribiaaaaTANGU DESEMBA MPAKA LEO NDO UNABISHA HODI?
KARIBU