Naitwa Mo shyner ni artist ambaye ninarap na kuimba, Niko JF toka 2015 nikiwa member... lakin kama mtumiaji mgeni, kwasasa nadhani kidogo niko tayari kuomba ridhaa yenu nikaribishwe jamvini...
Naitwa Mo shyner ni artist ambaye ninarap na kuimba, Niko JF toka 2015 nikiwa member... lakin kama mtumiaji mgeni, kwasasa nadhani kidogo niko tayari kuomba ridhaa yenu nikaribishwe jamvini...