Nahitaji kua mgeni wa eneo hilo nawewe nikuombe uwe Mwenyeji wangu.Hahahaaa.. sidhani kama umewahi kusikia mahali kunaitwa maholong'wa.
Hahahaaaa sio usukumani Carlos.Hehehe jina sio geni[emoji7][emoji7] ni kule usukumani kwetu au ???Nahitaji kua mgeni wa eneo hilo nawewe nikuombe uwe Mwenyeji wangu.
Sikunafikika hata kwa Ungo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa sio usukumani Carlos.
Hahahaa.Mmmhhh basi nikuonee wivu, mwenzangu utakua unatumia JF tawi la Madagascar huko kwenye dawa ya Corona [emoji7]
Ndo maana unaniringishiaa , siamin kama ni Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann usiweze ??Hahahaa.
Tanzania ni kubwa sana eti.. kupata network mpk ukajiegeshe sehemu.
Hahahaaaa.Hahahah basi leo nakuambia ,mahali pekee pa kujiegesha ukapata network bila kuhangaika ni kifuani kwangu[emoji8]Kwann usiweze ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Au niwe Punda nikubebe unapozunguka kijijin maholong'waHahahaaaa.
Hhmm jamaniiii.. ndo usafiri wetu huo ujueWaooooo hiki kicheko kimenifanya niamini umenikubalia Offer niliyokupa ,, amini hautajutaa kabisaa Au niwe Punda nikubebe unapozunguka kijijin maholong'wa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie 'Nitawezana[emoji39] wala usijaliHhmm jamaniiii.. ndo usafiri wetu huo ujue
Jina zuri, karibu sana mrembo.Hapana mkuu.
Ni jina tu nimelipenda
πππOhooooo basi wacha niwe punda wako , niwe mtumwa wako unitumie unavyotaka muda wowote namahali popote Mie 'Nitawezana[emoji39] wala usijali
Sent using Jamii Forums mobile app
Je uso umefurahi kama unavyofurahia wakati unakojoa mkojo wa kikubwa ?[emoji4][emoji4][emoji4]
Hahahah wapo bize na maishaaa....kwann mimi nisiwe bizee na Mtoto IqraNIUshidwe ww tu, naona wabeba box wamekuachia mgodi.