Karibu sana,we ni gamba au gwanda? Weka na misimamo yako kabisa hapa maana unaonekana ni mshabikia siasa, na kama ni mtu wa malove tukupeleke mmu kwa kina lizzy kama ni wa jokes tukukabithi kwa exllent, ila kama gamba tukupeleke kwa rejao,kama cdm tukukabidhi kwa paka jimmy,kama mtoto wa lowasa for presindency2015 tukuitie pasco.