ππππ Nmaansha wawe friends positive not negative mkuu"wenye kuleta faida katika maisha"
Hapo unataka wawe wanakuingizia shilingi ngapi kwa siku!
π€¨π€¨ Shukran Sana bro ndo nmeket hapa sebulenππ nsubir chai aseeππKaribu sana, hapo sebuleni kuna mlango wa kushoto gonga hapo, kisha kulia kuna mlango wa koldo nenda nalo mpaka utawakuta wana JF wanabalizi
Sent using Jamii Forums mobile app