Karibu nmekutangulia kama 40mins hivi..Heshima kwenu wakuu.. nimekua nikiperuzi kwa muda mrefu lakin sikua nimejiregister. nimeingia sasa kwa miguu yote. mmenishawishi sana watu mnajua vitu mpaka basi aiseE. Amebarikiwa Preta FaizaFoxy intermediate mshana jr miss chagga Evelyn Salt ni weeeengi mno ..nimebarikiwa na mchango yenu sana bila kumsahau GENTAMYCINE huyu kila kitu anajuaga aisee.@bushland... mnipokee kwakweli....ahsante
hapana mi nimgeni kaabis akabisa mkuu.. nilikuwa nafailiaga kabla sijajiregister .kwahiyo naelewa tuu ..ondoa shaka kwan wewe nani alikufundisha kutagNyie mnatuzuga tu! Hakuna cha ugeni wala nn! Mmeanzisha kurasa mpya tu! Umejuaje kumtag mtu?
Ndo hivo unauliza mabomu peshawar!wewe wasema mkuu
Chagua.tatizo nini kwani ? unastress??
hahaha hivi ni mgeni kweli wewe? mbona huna kamba.Heshima kwenu wakuu.. nimekua nikiperuzi kwa muda mrefu lakin sikua nimejiregister. nimeingia sasa kwa miguu yote. mmenishawishi sana watu mnajua vitu mpaka basi aiseE. Amebarikiwa Preta FaizaFoxy intermediate mshana jr miss chagga Evelyn Salt ni weeeengi mno ..nimebarikiwa na mchango yenu sana bila kumsahau GENTAMYCINE huyu kila kitu anajuaga aisee.@bushland... mnipokee kwakweli....ahsante
Mgeni umekaa kiwenyeji wenyeji.Heshima kwenu wakuu.. nimekua nikiperuzi kwa muda mrefu lakin sikua nimejiregister. nimeingia sasa kwa miguu yote. mmenishawishi sana watu mnajua vitu mpaka basi aiseE. Amebarikiwa Preta FaizaFoxy intermediate mshana jr miss chagga Evelyn Salt ni weeeengi mno ..nimebarikiwa na mchango yenu sana bila kumsahau GENTAMYCINE huyu kila kitu anajuaga aisee.@bushland... mnipokee kwakweli....ahsante
.Heshima kwenu wakuu.. nimekua nikiperuzi kwa muda mrefu lakin sikua nimejiregister. nimeingia sasa kwa miguu yote. mmenishawishi sana watu mnajua vitu mpaka basi aiseE. Amebarikiwa Preta FaizaFoxy intermediate mshana jr miss chagga Evelyn Salt ni weeeengi mno ..nimebarikiwa na mchango yenu sana bila kumsahau GENTAMYCINE huyu kila kitu anajuaga aisee.@bushland... mnipokee kwakweli....ahsante