karibu gerti.hapa mabinti wote kama ni wazuri na wapya hukaguliwa na babu asprin.usimuogope huyu babu hang'ati(sana),kama ni mzuri na umeshatumika utakaguliwa na boflo a.k.a sukari ya warembo,huyu boflo hana shida kabisa,bunduki yake ni kama zile zilizoko jumba la makumbusho!!!!mwisho kama upoupo tu tutakukabidhi kwa mzabzab kwa ajili ya matumizi!
haya tuambie ukoje ukoje tukukabidhi kwa mtu husika?