hello ndugu

Cassanjr kuna sehemu yake ya kujitambulisha....hebu do the needful then urudi hapa!
 
karibu sna mkuu!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Mbona mnamtisha kihivyo? suppose mngefanyiwa hayo nyinyi ingekuwaje? Karibu bwn, jimwage kisawasawa.
 
Mbona mnamtisha kihivyo? suppose mngefanyiwa hayo nyinyi ingekuwaje? Karibu bwn, jimwage kisawasawa.
hamna mtu aliyemtisha ila anaambiwa ukweli, wewe hujui kuwa sasa hivi shule na vyuo vimefungwa unaweza ukamkaribisha kumbe under 18 akakumbana na mambo makubwa humu yakamchanganya akashindwa kusoma
 
Amenikumbusha siku ya kwanza nilipoenda mjini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…